Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Ulikosea sana🀣 usije kula chakula sehemu wanasem mwiko. Familia nyingi za Africa au nyumba nyingi nilizopita firigisi ilikuwa ni ya babaπŸ˜€
Ukoo wangu ni mwiko kula maini. Sijawah kula Ini toka nimezaliwa na hata sijui ladha yake. Nikienda kwa mtu nikakuta wamepika maini naondoka.

Ila huyo msichana alikuw anatoka na mchumba wako alitaka kumtengea firigisi ukajaribuπŸ˜€
 
Hivo vyote vinakiwaga mwanzo kabisa nafanyaga supu ya kuonja 🀣🀣🀣
Supu unaweka nini? nifundishe na mimi nipike sizipendi Zina shombo sana. Kuku na samaki wana shombo wananikera sanaπŸ˜€
 
🀣🀣🀣Weee mwiko kwenye kabila lao mtuwangu tulikuwa kabila moja Hana mwiko yule πŸ˜€πŸ˜€nipike kuku nisipokula firigis roho haitulii πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwetu nilikatazwa kula shingo ya kuku anakula aliechinja tu au mwanaume na sikuwahi kula kuku akichinjwa nyumbni lakin mgahawani nazikuta srhemu zingine ugenini nazikuta na nakula bila shida Ilikuwa ujinga tu bhna🀣🀣
 
Kwa jinsi ulivyoeleza kitu ambacho unaonekana huli ni sauti ya kuku na manyoa tu😬 kuanzia nyama mpaka mifupa huachi kitu🀣🀣 unavunja mpaka miiko ya familiaπŸ˜€
 
Ukitaka asiwe na shombo kuku wakat unaosha waoshe na maji Yale maji weka malimao limao Yan wakuwa hawana harufu kabisa
Jana niliweka vinegar kabisa nisipate shombo. Nilikuw namtengenezea mke wangu supu ana katoto kachanga ila shombo halitoki. Au kuku chotara ndio walivyπŸ˜€
 
I mean no malice to nobody, Sera zetu πŸ‘‰ Panga mkononi
πŸ‘‰ Roho begani

2. I love food, games, movie and music
But mkuu nisamehe bure ile day nilikusemea kwa uzi braza chaliii am so sorry

Achana na hio 'i mean malice to nobody'

Am sorry tho πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…