Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Pole sana mkuu
Mtag humu halafu umzamie piem tena
 
Kiukweli shangazi yeyote mwenye kiwango hiki cha ulimbwende ni asali kunako moyo wa baharia. Kama unajijua una kamvuto haka jua tu uko kwenye uchumi wa kati View attachment 2601067

Na kuna mashangazi, hilo tabasamu ndo taswira yao asilia bila makeups wala nywele iliyochomwa/iliyounguzwa....

Sema wanakuwa na nyama nyama za kupigisha kale kakelele ka rinda za ndani (pichu na bra)....
 
HII INAONYESHA JINSI GANI WANAUME WA SIKU HIZI NI WAOGA NA WANA UPWIRU WA HALI YA JUU.

KUWA MARAFIKI NA WADADA SIKATAI ILA SIYO KUFIKIA KUMTONGOZA KISA ANA COMMENT VZRI


WANAUME WENGI WA HUMU WANAONEKANA NI WAOGA MIDOMO ZEGE NA MISHAMBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…