Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Nimecheka sanaaa we baba wa mtoto mzuriii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sanaaa we baba wa mtoto mzuriii
Umefichwa sana mremboNimecheka sanaaa we baba wa mtoto mzuriii
Pole sana mkuuKIIINDI NI MGENI JF NILIVUTIWA NA DADA FLANI IVI, NILICHUKUA HATUA YA KUMFUATA PM LAKIN AKAWA SLOW SANA, BAADA YA MUDA NILIGUNDUA WANAWAKE WA HUMU UKIWAFUATA INBOX WANAJUA WE MUHUNI NA NDO TABIA YAKO SO NIKAMG'OA NANGA ILA KWA MWANDIKO TU INONEKANA NI BINTI MZURI NA MKWELI😔
unasaliti chama sio
hapana hapanaunasaliti chama sio
Njoo PM[emoji4]usijali ngoja nikupange wangu
tafuta demu wwhapana hapana
Kasie Popote ulipo Maua yako haya hapa 🌺💐🌻🌼🌷 Kwa niaba ya yule jamaa wa JKT😀
Sasa hapo umependa au umejipendekeza 😂Un
awajua warombo ndugu yangu hakawii kuniroga 😀😀😀
niwe nao wangapi sasa ? negative displacement pumptafuta demu ww
Sio mlinz tu nitakuwa wako hilo jukumu la kukulinda lipo ndani ya upendo 🥰Half american naomba uwe mlinz wangu...nimegundua kuna mkakati humu😎
Na wa zaidi ya hivi je?Kama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
Kiukweli shangazi yeyote mwenye kiwango hiki cha ulimbwende ni asali kunako moyo wa baharia. Kama unajijua una kamvuto haka jua tu uko kwenye uchumi wa kati View attachment 2601067
Aje anakimbia 😂Na wa zaidi ya hivi je?
😘😘😘😘 barikiwa kwa upendo wa Agape....Sio mlinz tu nitakuwa wako hilo jukumu la kukulinda lipo ndani ya upendo 🥰