wapambe wakae mbali, wakijaribu tu kunisogelea nawamwagia mchanga.Kama hatosikiliza maneno ya wapambe, basi nitafaidi sana π π
babe wako nani,,, we toka jana saa8 nasubiri unitaje hujanitaja unawataja tu wengine, ndo hivyo nishahama kwako πBabe mbona unanichanganya na Half american. ? Tangia lini unanisalitiπ’
KAa kwa kutulia π€£
Nipo sana sema napatikana sana makapuku forum nimefurahi sana kukuona baba wa mtoto mzuriiiUmefichwa sana mrembo
Utualike me na baby wangu kwenye harusi yenuAnytime as u wish my queen tukapate na baraka za wazazi π₯°π
wewe tu sema lini unakuja watu wajiandaeAnytime as u wish my queen tukapate na baraka za wazazi π₯°π
babe wako nani,,, we toka jana saa8 nasubiri unitaje hujanitaja unawataja tu wengine, ndo hivyo nishahama kwako π
Nyie ndio wasimamizi wetu πUtualike me na baby wangu kwenye harusi yenu
ndo ushawahiwa dear exπView attachment 2601141
Half american ama zako ama zanguπ¬π¬π¬
Hili tunda nataka nilinunulie vitzπ
The day after kesho si utanizalia mapacha mama watoto ? π€wewe tu sema lini unakuja watu wajiandae
Asante mrembo, mimi piaNipo sana sema napatikana sana makapuku forum nimefurahi sana kukuona baba wa mtoto mzuriii
Kakudanganya anakununuliq niniπ€£π€£π€£ndo ushawahiwa dear exπ
mapacha ushapata,, mapacha wa4 tena π€The day after kesho si utanizalia mapacha mama watoto ? π€
π€£ Lenie ni shem wangu kwa Analyseweee umetaja Lenie halafu unakuja kuniibia Leejay49 π¬Kuna kitu unakitafutaView attachment 2601142
ulikosea afsa! Usingemuonesha the real you! tanguliza uhohehahe... hawa wanawake mwalimu wao ni kipofuKuna mmoja alijiona Keki kisa tu nilionyesha kumjali, nami nikaamua kumpotezea mazima,hakujua kua kapishana na Gari la mishahara,
Life is too short usiwe slaves wa mapenzi kupita kiasi.
ππ
ataninunulia crown, we si umeshindwa π πKakudanganya anakununuliq niniπ€£π€£π€£
π₯°πππ that's my queenmapacha ushapata,, mapacha wa4 tena π€