Mwaya sio kwa ubaya, tunakupenda mwanamke mwenzetu ndio maana 😅Jamani, mnaniumiza moyo wangu😂
Hapana 🤣
Pesa za hivyo masimango mengi
😱😱😱😱 Sema nn hakuna cha peke yake nakubali kuwa mme wa nneushachelewa sasa🤗
😂 Basi tumuache☹️Mwaya sio kwa ubaya, tunakupenda mwanamke mwenzetu ndio maana 😅
wanne wote hao me wanini, pekeyake tu ananitosha😱😱😱😱 Sema nn hakuna cha peke yake nakubali kuwa mme wa nne
Babe Leejay49 kuliko niwe na wenzangu bora niwe singo again 🤭😱😱😱😱 Sema nn hakuna cha peke yake nakubali kuwa mme wa nne
Mbona nmemtaja mapema kabisa 😅Duuh so ulisubiri turare ndo umtaje Leejay49 😃😃
Ndio nshazama kwake mahaba ndi ndi ndiiiSo na wewe umependa mkuu aau😃😃😃😃
Ila.mpambe wewe 😂😂😂😂
Kukupenda wewe inawachoooooma sana🤣uko pekeyako tu kipenzi 🤗, sina kwa kuwapeleka hao mimi
Sawa mkuuNyie gombaneni huko huko, ila jina la lenie nisilisikie kwenye ugomvi wenu 😅😅
mbona wanashindwa kulala mapema hivi ndo kwanzaa tumeanza,watapata tabu sana kama ndo hivyo 🤗Kukupenda wewe inawachoooooma sana🤣
Wanashindwa lala
Eeh muache tu adeal na madent wenzake😂 Basi tumuache☹️
🤣🤣 fungu la kukosa kwahyo nilikua nakimbiaga uchi? Mbona sikumbuki 😂😂Sasa mbona hukakemea😀 ukiingia ndani mtego huo kaa kwenye kochi. Hivi namjua Half american toka akiwa mdogo. Mama akituogesha alikuw anakimbia nje uchi tu mda wote hatako kivaa nguo😀 hajawah Ata Sali rozari leo hii anataka ukasali nae chumbani .
Mpenzi wangi Leejay49 nakuonea huruma. Unajua huyu jamaa huwa anakula bijiji na karanga wakati mmoja 😬😬🤣
Asante😍Naomba kidogo , tuwe kidogo..
Nitakuwepo kama ukinihitaji
Hakika sijui tukitangaza tarehe ya ndoa itakuajembona wanashindwa kulala mapema hivi ndo kwanzaa tumeanza,watapata tabu sana kama ndo hivyo 🤗
Basi nisaidie kumuita nitangaze hadharani 😬Eeh muache tu adeal na madent wenzake
Dada wifi yako huyo kuanzia leoWe si ulishindwa kumkuna na wekundu wa msimbazi, wacha kijana mnyenyekevu Half american afanye kweli.
Ubahili sio