Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Mimi Gily naandika talaka hii kwa mpenzi wangu Leejay49 tarehe 27/4/2023. Ya kwamba kwa dhati ya moyo wangu nimeamua kukuacha na kuvunja ndoa yetu ambayo uliifanya kuwa ndoano!

kwa kushindwa kutimiza mahitaji yangu ya kindoa mfano kuninyima unyumba na kunipikia uji wenye mabuja makubwa ya kunikaba hadi kulazwa na nilivyokuonya hukuacha tabia zako hizo. Kunipikia wali ukautia ndimu tangia lini wali ukatiwa ndimu. Kutaka gari vitz wakati kwenye ukoo wetu aliyenunua gari ni yule baba mdogo anayechukua watu misukule!.

Hivyo basi kuanzia leo mimi na wewe sio wanandoa tena na naomba muumba anjijaalie nisikukumbuke tena Wala nisiwaze kupasha kiporo. Hata ukinipa kiporo nakisusa kitakuwa kimechacha kutokana na tabia ya Half american kula bila kunawa mikono na kulamba sana vidole vyake bila sababu ya msingi. .

Barua hii naituma kupitia washenga wangu Johnnie Walker, Binadamu Mtakatifu na mshamba_hachekwi . Pia nakukumbusha tu kuanzia leo sina ujamaa na wewe mwambie mjomba wako Analyse na shangazi yako Lenie warudishe hela yangu niliyowaazima sikukuu ya eid. La sivyo tutakutana mahakamani. .


La msingi sijazaa na wewe Leejay49 maana ningepata watoto wa kenge kama ulivyo mama yaoπŸ˜€
View attachment 2601246
Umeona aina ya mtu ambae alisema anakupenda Leejay49 ?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😍😍😍😍 kikiboxer Antonnia una shemeji mpya huku πŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
Watruuu weeuweeeeeee!! πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€Έ!

Piga kelelee kwa shem akeee weeh weeh weeeuuuwweeeeehhh!😘😘😘
Muuliz hana mdogo wake au rafiki kwanii 🀣🀣🀣 in Aaliyyah voice πŸ˜‚β˜ΊοΈ
 
Back
Top Bottom