acha kujibalaguza weka namba utumiwe helahahah number zangu zipo humu sana hat kwenye ule uzi wa nanunua santuri. Atume milluon 6 chapπ¬π
ππππ kikiboxer Antonnia una shemeji mpya huku πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈWakuitwa Bantu Lady ni kisu atafaa.
Nenda kamnuse mjomba wako mdomo si unajua hana tabia ya kupiga mswaki. Utasikia tu harufu ya kuku aliokula Idiπwe muongo π
weka namba utumiwe hela, mbona una kelele nyingi sanaAsisahau kutuma na kutolea . Afanya chap kabla hatujashirikisha wanasheria
Sina experience nzuri na PM.Nidm kidogo.
Usinikubali haraka haraka.
π€
Alisema kibamia kinamchoma choma kama toothpickSikubali ndugu yangu kudhalilishwa ivyo
wee acha kutudhalilisha, eti Analyse mjomba kweli πNenda kamnuse mjomba wako mdomo si unajua hana tabia ya kupiga mswaki. Utasikia tu harufu ya kuku aliokula Idiπ
Ule mswaki wake wa kijiti aliusahau alipoend safari mwaka jana December πππ
Hapo uhakika sana jichukulie sheria mkononi chapBaredi ngoja mi nirushe kwa mkono
Umeona aina ya mtu ambae alisema anakupenda Leejay49 ?Mimi Gily naandika talaka hii kwa mpenzi wangu Leejay49 tarehe 27/4/2023. Ya kwamba kwa dhati ya moyo wangu nimeamua kukuacha na kuvunja ndoa yetu ambayo uliifanya kuwa ndoano!
kwa kushindwa kutimiza mahitaji yangu ya kindoa mfano kuninyima unyumba na kunipikia uji wenye mabuja makubwa ya kunikaba hadi kulazwa na nilivyokuonya hukuacha tabia zako hizo. Kunipikia wali ukautia ndimu tangia lini wali ukatiwa ndimu. Kutaka gari vitz wakati kwenye ukoo wetu aliyenunua gari ni yule baba mdogo anayechukua watu misukule!.
Hivyo basi kuanzia leo mimi na wewe sio wanandoa tena na naomba muumba anjijaalie nisikukumbuke tena Wala nisiwaze kupasha kiporo. Hata ukinipa kiporo nakisusa kitakuwa kimechacha kutokana na tabia ya Half american kula bila kunawa mikono na kulamba sana vidole vyake bila sababu ya msingi. .
Barua hii naituma kupitia washenga wangu Johnnie Walker, Binadamu Mtakatifu na mshamba_hachekwi . Pia nakukumbusha tu kuanzia leo sina ujamaa na wewe mwambie mjomba wako Analyse na shangazi yako Lenie warudishe hela yangu niliyowaazima sikukuu ya eid. La sivyo tutakutana mahakamani. .
La msingi sijazaa na wewe Leejay49 maana ningepata watoto wa kenge kama ulivyo mama yaoπ
View attachment 2601246
Ndio alikula pale serena hotelkuna miguu ya kuku ya milioni 6π€
π πππYaaani huyu Leejay49 majanga anaacha watu waaminifu anatamba na wabana pua kinaa Half american
Salama, za kwako?Habari yako Mrembo
Akichelewa ase twawafunga tuAsisahau kutuma na kutolea . Afanya chap kabla hatujashirikisha wanasheria
yani ameniacha na kunisingizia kesi juu, kweli nilifanya vizuri kumkataa kipenzi π
Mbona sasa alikuwa anapiga kelele kama anatembelewa na nyoka mwili au alikuwa anaigiza?Alisema kibamia kinamchoma choma kama toothpick
Hafai kabisa huyu angekunyanyasa sanayani ameniacha na kunisingizia kesi juu, kweli nilifanya vizuri kumkataa kipenzi π
sawa, mbona hatumi namba sasa tumtumie ela yake, au nyie waongoNdio alikula pale serena hotel
kwakweli πHafai kabisa huyu angekunyanyasa sana
Watruuu weeuweeeeeee!! πππ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έ!