Eti Lenie mdogo wetu Satoh Hirosh amekushindwa wewe pisi kali ??? πππSatoh Hirosh tulimwambia hawezi hilo fuso atafute ist akatuona mafala, kiko wapi?
Tunapewa shuhuda na masponsa na Lenie π€£
Kama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
Achana nao hao. Usiyape uzito maneno yao π£Hela mingi? Mbona wadau humu wanasema single mom hata ukimwoa bure ashukuruπ
Asante Mkuu kwa kukazia nilishamwambia tayariAchana nao hao. Usiyape uzito maneno yao π£
πππAsante Mkuu kwa kukazia nilishamwambia tayari
Una agenda gani ya siri?πAsante Mkuu kwa kukazia nilishamwambia tayari
Dogo langu ninakukubali sanaa, utafika mbali keep it up (kipirap)πππ
Ndege wafananao usiwatengeπππWhy umemuita huyo jamaa? Sukari ya warembo huyo π π π