Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Sasa huyu Satoh Hirosh naye analiacha sana jimbo wazi aiseee 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Lenie mdogo wetu Satoh Hirosh amekushindwa wewe pisi kali ??? 😂😂😂Satoh Hirosh tulimwambia hawezi hilo fuso atafute ist akatuona mafala, kiko wapi?
Tunapewa shuhuda na masponsa na Lenie 🤣
Kama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
Achana nao hao. Usiyape uzito maneno yao 😣Hela mingi? Mbona wadau humu wanasema single mom hata ukimwoa bure ashukuru😔
Asante Mkuu kwa kukazia nilishamwambia tayariAchana nao hao. Usiyape uzito maneno yao 😣
👊👊👊Asante Mkuu kwa kukazia nilishamwambia tayari
Una agenda gani ya siri?😂Asante Mkuu kwa kukazia nilishamwambia tayari
Dogo langu ninakukubali sanaa, utafika mbali keep it up (kipirap)
Ndege wafananao usiwatenge😂😂😂Why umemuita huyo jamaa? Sukari ya warembo huyo 😅😅😅