Onja πΆNjoo nikuonje,hutoniacha
Nyie watu mmeshindikana, Glenn, National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab na Carlos The Jackal mmeshindikanaπ πWaache watajane wazee tunajua la kufanyaπ
Namsubiria National Anthem anipitie hapa. Nawa mikono kabisa!!Wee mapocho leta hapa tegeta kibaoni.
hutojutia kunikabidhi moyo wako....π Umenitoa wasiwasi mpenziπ
ππNoma Sana mapenz yaacheni tuHahahaha... nilikumbuka hio kauli tyuu kipenzeeee!!
Umeona eeehhh!! Lazima ujione wewee ndio wewe wengine mamwewe tyuuuuπ!!
Hapana chezea ile kitru kabesaaa!!π€!
πππ ila nikipita nae nisamehe mimiYule Johnnie Walker mzee wa kuitemea mate mademu wanamjua michezo yake kila siku wanaumwa fungus π€£π€£π€£
Kivipi tena jamaniNyie watu mmeshindikana, Glenn, National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab na Carlos The Jackal mmeshindikanaπ π
Sasa huyo unakuja nae wa nini tena bby ebu njoo mwenyewe ngoja nikutumie hela ya bolt.Namsubiria National Anthem anipitie hapa. Nawa mikono kabisa!!
ππSisi hatuna shida na tumejikoki yaani wew lete hayo mabaki mabaki hata watoto wa shangazi Yako upande wa bibi hatuna baya nao au nasema uongo nduguππ Kwani Antonnia na mwenzio Aaliyyah mna nini?
Ndio natuma maombi hapa kwa Bantu Lady afanye wepesi.
Rafiki yupo hakuna tatizo yani.
usiache ilale mkuu πSasa huyo unakuja nae wa nini tena bby ebu njoo mwenyewe ngoja nikutumie hela ya bolt.
Hiyo adhabu nimeipenda naomba ipitishwe kuwa sheria πππThese are absolutely beautiful πππ
Asante wegman βΊοΈ
Na kweli anaepinga muungano (unless ana hoja ya maana) achapwe viboko sawa sawa na miaka ambayo tumekuwa wamoja!π
Nimeachika kitambo nimebaki nimeduwaa nina gundu mm π
Unaponipambanisha naNyie watu mmeshindikana, Glenn, National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab na Carlos The Jackal mmeshindikanaπ π
Nipo Dodoma njoo mshirika!Onja πΆ
Sisi ndugu nikifa nakurithisha mapema tuππππππ ila nikipita nae nisamehe mimi
Shukrani sana ndugu yangu. .Nawatakiwa baraka tele mkuu