Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onja 🌶Njoo nikuonje,hutoniacha
Nyie watu mmeshindikana, Glenn, National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab na Carlos The Jackal mmeshindikana😅😅Waache watajane wazee tunajua la kufanya😂
Namsubiria National Anthem anipitie hapa. Nawa mikono kabisa!!Wee mapocho leta hapa tegeta kibaoni.
hutojutia kunikabidhi moyo wako....😂 Umenitoa wasiwasi mpenzi😇
😂😂Noma Sana mapenz yaacheni tuHahahaha... nilikumbuka hio kauli tyuu kipenzeeee!!
Umeona eeehhh!! Lazima ujione wewee ndio wewe wengine mamwewe tyuuuu😁!!
Hapana chezea ile kitru kabesaaa!!🤭!
😂😂😂 ila nikipita nae nisamehe mimiYule Johnnie Walker mzee wa kuitemea mate mademu wanamjua michezo yake kila siku wanaumwa fungus 🤣🤣🤣
Kivipi tena jamaniNyie watu mmeshindikana, Glenn, National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab na Carlos The Jackal mmeshindikana😅😅
Sasa huyo unakuja nae wa nini tena bby ebu njoo mwenyewe ngoja nikutumie hela ya bolt.Namsubiria National Anthem anipitie hapa. Nawa mikono kabisa!!
😂😂Sisi hatuna shida na tumejikoki yaani wew lete hayo mabaki mabaki hata watoto wa shangazi Yako upande wa bibi hatuna baya nao au nasema uongo ndugu😂😂 Kwani Antonnia na mwenzio Aaliyyah mna nini?
Ndio natuma maombi hapa kwa Bantu Lady afanye wepesi.
Rafiki yupo hakuna tatizo yani.
usiache ilale mkuu 😂Sasa huyo unakuja nae wa nini tena bby ebu njoo mwenyewe ngoja nikutumie hela ya bolt.
Nimeachika kitambo nimebaki nimeduwaa nina gundu mm 😀
Unaponipambanisha naNyie watu mmeshindikana, Glenn, National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab na Carlos The Jackal mmeshindikana😅😅
Nipo Dodoma njoo mshirika!Onja 🌶
Sisi ndugu nikifa nakurithisha mapema tu😀😀😀😂😂😂 ila nikipita nae nisamehe mimi
Shukrani sana ndugu yangu. .Nawatakiwa baraka tele mkuu