Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Daaahh ningekuja PM mwenywe tatizo umejielezea sana kabla ya tongozo

Umeniogopesha aiseeee siji tena

Carleen dada ndoa ilikua tuwe nayo mwaka huu ila nimeahirisha๐Ÿ˜†
 
Joan anakutakia mambo mazuri unakataaje mrembo, ๐Ÿ˜€,, au umesahau mkataa pema pabaya panamuita?
Mkuu ina maana hujastukia tu kuwa da Joannah yeye ndo anakutaka ila ananitumia mim kama kivuli๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Nikwambie kitu shem,ukimpata dada yangu umepata mke mwema.
Hana kasoro mi shida tupu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wewe huyu huyu?
Yaani mapenzi bila pesa kusima kwanza?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mbona mie sipendi pesa jaman
Niko na mapensi ya kweriiiiiii๐Ÿ˜Œ
 
Mkuu ina maana hujastukia tu kuwa da Joannah yeye ndo anakutaka ila ananitumia mim kama kivuli๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Nikwambie kitu shem,ukimpata dada yangu umepata mke mwema.
Hana kasoro mi shida tupu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃKweli mkataa pema pabaya panamuita...kwa hiyo Mimi kukuonyesha mgodi unaotembea umeniona mwehu?Shauri yako Extrovert shem Kama shem najua kwako hakishindikani kitu mtunze mdogo wangu
 
Daaahh ningekuja PM mwenywe tatizo umejielezea sana kabla ya tongozo

Umeniogopesha aiseeee siji tena

Carleen dada ndoa ilikua tuwe nayo mwaka huu ila nimeahirisha๐Ÿ˜†
Wewe pm njoo tu,kupendana tutapendana juu kwa juu.

Mambo mengine niachie Mimi mwanaume niweke sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ