Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Wee hujalala tu? Kesho utachapwa ujue ukichelewammenipata boya wenu sio 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee hujalala tu? Kesho utachapwa ujue ukichelewammenipata boya wenu sio 😂
Kuna mambo yanaepukikaAf tupate kesi ya kutorosha denti, aah hapana aisee.
Abaki asome tu, haya maisha atayakuta mbele huko
Sawa dogo, ngoja nikusomeshee ramani, nikujengee mifumo imara kwa braza Mmarekani hapoDepal mimi namtaka huyu Half american
🤣😂😂 pole mkuummenipata boya wenu sio 😂
Wamefika 8K😂😂😂Kumbe watu Wana babes zao na hawasemi watu wasiri😂😂
POle sana chelsea 😅Nililala
Na hapa naangalia mikando
Watu wanakandwa ⚽️⚽️
naahidi kuchangia 600k 😂 hela yangu ya field.....Shindwaaa pepo
Hivi unamchukuliaje Analyse lakini?
Kwamba aachie hii pisi kali kirahisi tu, kwanini yaani?
Huu ndio uchawi wenyewe sasa tunaoupinga me na baby wangu🥰
Hayo ndio maneno sasa😋naahidi kuchangia 600k 😂 hela yangu ya field.....
Uhuni wa cutting hair style hatuachi 🤣🤣🤣👍👍💃😂😂😂😂😂😂
Nilidhani umeniona natoka saloon hapa kunyoa na ka way kangu pembeni,
Uhuni sijui kama nitaacha labda wenyewe uniache Mimi..
😂😂😂😂Yaan acha tu wanaogopa kusema labda Kwa hiz I'd mnaweza kukuta mko sita had nane mmejibanza Kwa mtu 1Wamefika 8K
Watu wana watu wao humu na hawatuambii
ana foleni huyo 😂japokuwa ni mke wa mtu gheto kuna maziwa nikubalie basi To yeye
HapanaaaMwanamke asuke apendeze ata akinyoa anamiss kusuka ndomn wanavaa mawigi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
nawapataje jamani 😂Hapanaaa
Tuko hapa tunaonyoa na hatumiliki mawigi
Mambo hayo 😀Ndio tena tukajenge mji wetu kama Dubai🤩