Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
thanks darling 🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thanks darling 🥰
Watu wanaogopa kesi, miaka 30 mchezo?Mimi ndio hakuna anae nitaka au kisa nimezaliwa 2006
Mbona hujataja mtu kijana?
Watu wanaogopa kesi, miaka 30 mchezo?
Oyaa Gily ndege wako kapeperuka huku 😅😅me ni wa Half american , Gily kaa mbali na mimi tafadhali 🤓
Tokea lini🫣🫣🫣 mbona umechelewa sana kusema sasa hivi watoto wangekuwa wanaenda shule ??
[emoji23] SitakiUkimpa vya uvunguni, lazima atangaze ndoa ndani ya mwezi tu [emoji28][emoji28]
Ajaribu kwa jirani 😂sawa kipenzi, kwetu nafasi zimejaa tayari
Kuna huyuu wakuitwa[mention]Bantu Lady [/mention] namkubali sana huyu mrembo japo sijawai kumcheki..... ila kila siku lazima nichungulie kama yupo online
Ustawi wa jamii watashitaki.Ahahahaha nani ataenda kushataki uko mahakama kama mimi mwenyewe nimekubali
ACHA UJINGA WEWE.YANI MWANAUME UNAJISHUSHA KIASI HIKI, KWANI KUNA MBUMPA NGAPI HAPO UNAPOKAA MPKA UJE UJISHUSHE HIVI NA KUJIDHALILISHA HIVI?
Dahhhh poa banamadogo wote wakiume sasa😎
Baredi ngoja mi nirushe kwa mkono🤣😂 Leejay49 huyu mtu asiingie kwenye familia yenu