Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Fanta bwegevhuyu!.Bread and Fanta only....View attachment 2600312
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanta bwegevhuyu!.Bread and Fanta only....View attachment 2600312
Ayaaaaaaaaaa kumbe The Fisi uko Kwa mawindo 🤣🤣🤣Angalia utaniharibia nasaka mwali ujue
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka hadi nasikia kupona😂😂😂😂
😃😃😃 mmbishi sana huyo mzabzab labda atakusikiliza wewe ukimpeleka sie hawezi kutuelewaLabda uwa-adopt hawa nilionao 😄
National Anthem & Mzee wa kupambania embu mchukueni ndugu yenu mumpeleke beach akapumzike na kushangaa shangaa warembo kidogo.
Hmmmm.Bado, niopowe basi 😲😲
😀😀😀😀 salama zimefika mkuuzinaogopa vijana wa humu wanatongoza hovyo sana,sema mashangazi yana nafasi yao ya pekee Nifikishie salamu kwa lishangazi lolote mazee
Mie huyuuu 🫣🫣🫣… mbona natanga tangaa tu humu kama paka kokoHmmmm.
Mbona kwa taarifa nilizonazo we ndio ulikuwa wa kwanza kuopolewa??? Tena kwakugombewa haswa!!!🙄
Hata siwindi nasubiria niangukiwe na zali la mentally.Ayaaaaaaaaaa kumbe The Fisi uko Kwa mawindo 🤣🤣🤣
Ni laana unaacha au 🤣Sasa nakukabidhi rasmi upikiwe uji usio na mabuje ukabwe ulazwe hospital ya rufaa😀 kesi yako sio ndogo inahitaj madaktari bingwa
Hata kwa makofi haendi huyooo, sie tuna kuachia ummbadiriashe na tabiaa, tutamfata mwakaniMhhh....kwa Utatu Mtakatifu mlionao?? Haiwezekani!
Juzi napiga shoo basi Ile bao la Tatu umetoka upepo tuuuu hahahah Bidada akabaki ananicheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata siwindi nasubiria niangukiwe na zali la mentally.
Mzee baba una kijiji chako humu, mtaani ndio usiseme, bila shaka unamwaga mapovu shahawa nzito hakuna tena🤣🤣🤣🤣🤣
Basi jiandaeni baadae niwatoe out we na nduguzo watu wasiwachukulie poa!!!!Mie huyuuu 🫣🫣🫣… mbona natanga tangaa tu humu kama paka koko
🤭🤭🤭 tuwaache hao, watukutu nitoe mie tuBasi jiandaeni baadae niwatoe out we na nduguzo watu wasiwachukulie poa!!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata kwa makofi haendi huyooo, sie tuna kuachia ummbadiriashe na tabiaa, tutamfata mwakani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Juzi napiga shoo basi Ile bao la Tatu umetoka upepo tuuuu hahahah Bidada akabaki ananicheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila humu Sina ,mtaani Banaaa, mtaaani baba wee angalia, Nina majina kwenye simu yapatayo 1300+ na katika hayo mademu wanachukua 75%.
Hapa mbona sie watoto ma juior kwako… umetufunika na wingu lako mkuu 😅😅 .. ERoni kafichwa na kubwa la mashangazi hapumuiUzi huu bila mafisi maandamizi
DeepPond
National Anthem
Analyse
@@manyanza
Carlos The Jackal
Na mshauri ERoni
Wasipokuwepo haunogi🤣🤣🤣
Mapenzi hayaji bila kuona picha na kusikia sauti na kuona uso kuona angalau mwendo.Kwa maana hiyo hapa JF kanuni ya moyo haifanyi kazi kwa sababu hata ukiona huwa si halisi.Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia, pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana. Haya kazi kwenu, tiririka.
🤣🤣🤣Mkuuu ukiwa Fisi Uzi huuu, hutakiwi kutag mtu, wee tulia, cheza kama Pelee ukiamin kwamba Binadam wote ni sawaUzi huu bila mafisi maandamizi
DeepPond
National Anthem
Analyse
@@manyanza
Carlos The Jackal
Na mshauri ERoni
Wasipokuwepo haunogi🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅 sie ndio tumeisha kukabizi sasa, sijui itakuwaje. Mwakani tunamuijia mtu wetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwakani sio mbali sana ila kwa hilo zoezi ni kama miaka 10.😳😳😳