National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeingia cha mashetani yenyewe kabisa 😅😅Weee sema kweli?
Kwahiyo nimeingia cha kiume au
atavumilia tu, la sivyo atakufa njaaAtaweza manyanyaso ya mama wa kambo kweli yule?🤨
Una bahati umeoa mchaga, hawang'ang'anii sana kifuani wewe acha pesa mezani, somesha watoti na ukimfungulia kimradi...wewe jizururie upendavyo lkn pesa ije home.🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuuu nilishashindwa kukaa na shahawa zaidi ya siku tatu .
Ushangazi umepewa hicho cheo na nani ? Kama mjumbe wa Kamati ya kupitisha mashangazi sijaona jina lakoHanaga baya na sie mashangazi 🤗
Utanyonywaa damu wewe 😀😀Nyie jamani, ujue nishakufa na kuoza mie 🤣
Au ni wivu kisa hamjatajwa?
Babe Analyse em njoo kwanza huku ujibu hizi tuhuma
Dr Lizzy amekutaja kundi moja naMke sija tajwaaa bado, unaniuzia kesi.. najaribu hapa kuomba hata Dr Lizzy anitaje kiuongo uongo na mie nitembee kifua mbele… sema wewe mzee wa kimyaaa sana, kumbe kina kirefuu hata Lucifer hakufikiii 😅😅
😅😅😅 Yuko sehem salamaUtanyonywaa damu wewe 😀😀
Dr Lizzy anajua mie muhubiri wao ndio maana kanijumuisha nao 😅😅
Hahahaha mkuuu unawajua sana wachaga, nikama unamjua kabisa.Una bahati umeoa mchaga, hawang'ang'anii sana kifuani wewe acha pesa mezani, somesha watoti na ukimfungulia kimradi...wewe jizururie upendavyo lkn pesa ije home.
Ungeoa mmeru ungekufa siku nyingi kwa umalaya wako, wana wivu hawatakagi huo ujinga🤣🤣🤣
Endelea kummwagia povu tu hawanaga shida😂😂😂
Kumbe nimependwa huku...Kalpana Shikamoo popote ulipo toka nimekuona usingizi suipati wa kutosha
Tutaweka ushahidi hapa mkuu wetu.. 😅😅😅😅😅 Yuko sehem salama
😄😄😄 hao unafundisha nini tenaaa wane maliza modules zoteSema mwalimu wao
Wachaga ni pesa pesa tu mkuu, ukiwa nazo unapendwa balaa.Hahahaha mkuuu unawajua sana wachaga, nikama unamjua kabisa.
Yeye anachotaka ni huduma tu ,muda wote mastoei yake nikumishauri tu masuala ya Hela, ila kula mbususu, unakula tu kwamba ndo mwenza , Sasa kwenye Hela ,mnaweza gombana 🤣🤣.
Hao wameru nasikia wao ni mashine kazi kazi , hakuruhusu utoke nje ya nyumba bila kumkaza .
Dawa ya hao, Unajizuia kukojoa, unapiga bao Moja like la saa Moja na madakika ,alafu unakojoa.
Unakua umebakisha shahawa za Mchepuko