Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Anhaa kumbe ndo hivyo?
Unajua kuchagua sisy.
Nikiolewa na lofa si utatuombea kwa shemela awe anatupiga tafu?
Hapana sitaki kumtesa laaziz wangu kwa mambo ya kizembezembe mwisho aishiwe nguvu bure....we utapambana tu
 
Ushafungua piem lakini
Nataka nije mwenywe na ‘hey handsome’
Kufunga pm ni hasara.

Mimi sitaki hata kujishughulisha jinsi ya kujua inafungwaje. Kiufuip we njoo tu nakusubiri nimejaa tele Kama kikatuni lodilofa kwenye kale kigari chake.
 
Back
Top Bottom