Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tulia usipoangalia ntakuharibia siku huku nikicheka😂😂😂😂Hapana dada, Glenn ndio kayaanzisha yote haya 😅😅
limao linakuhusu kwa hangover uliyonayo
YeahSure?
nana_ mwanamke mmoja hivi mwenye nyama zake.Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia, pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana. Haya kazi kwenu, tiririka.
Kwa haraka haraka, unaweza hisi hizi ni account mbili, kumbe ni mtu mmoja anacheza na akili zetu 😅😅😅
Hebu tumeni kapicha tu pruvu
hahaha watoto wanateseka bila mama yao arudi tuyajejge😀Alinifata pm, akasema anajutia alichofanya. Akipata nafasi, hatorudia tena yale mambo
Nimestuka hanipati ng’ooMwanaume anaomba huruma?
Simba huomba huruma ya swala?
Shtuka hakuna mtu hapo😅
Usiwe ivyo basiYeah
UongooNimestuka hanipati ng’oo
Uongoo
🤣🤣🤣😅Usiwe ivyo basi
Kwa hiyo na wewe unaopoa mishangazi kimyakimya?Bro mimi showoff sitaki tena, nikitaka ni kimyakimya, ukiona napiga miluzi hamna kitu hapo