Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #141
Hakunaga rafiki duniani ni Yesu Pekee maana kila mmoja ni mnafikiHongereni sana wengine hatujabahatika unakuta rafikyako nae ana rafikiyake shida zinaanzia hapo now tumetuliza makomwe yetu tuππ
Kumbe ndo zake tungeelewana sana shida yangu siwez kujitetea live Yani Bora unipe mda au nijitetee Kwa ujumbe nafikir nakuwa huru ila live alafu nimekwazika kilaneno halitoki mdomoni mwisho machozi tu πππWewe unatakiwa upate rafiki kama Depal ndio anakufaaπ€£π€£
Acha kujikomba mwenzio nilijikomba nikawekewa x kubwa tu nyekunduMimi unaniweka wapii [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli dearHakunaga rafiki duniani ni Yesu Pekee maana kila mmoja ni mnafiki
Sasa hapa ngono imekukajeee???Waswahili mwapenda ngono sana, kwani hamna mifano mingine.?
Ngoja siku me nikutende, utakuja kuandika uziChuo nikishakuwaga na rafiki
Alikuwa rafiki mwenye rafiki zake ambao by that time hawakuwa rafiki zangu.
(Tuliishi 1 Hostel.. chuo level tofauti.
Kuna siku sijui ikawaje wakaanza kunisema π€£ yule rafiki angu akaanza kuwasuta wenzake kwann wananisema.
Basi baadae nikaja kuwazoea na wale wengine. Ndio kupata huo ubuyu kwamba rafiki alinitetea nisisemwe π.
Nikazidi kumpenda β€οΈ
Na yeye akanipenda
Mpk tukaanza kufanana
Tukaanza itana Twin
Until to date bado tunawasiliana⦠ingawa tuko miles mia mbili tofauti.
Na ukishika cm yangu ukaenda kwa contacts ukaserch TW⦠lazima uone Twinie.. toka enzi hizoo mpk leo sijawahi edit jina.
Nina hako ka bahati ka kupata marafiki ninao vibe nao⦠sijawahi tendwa na rafiki.
Nyie hamuwez bhana wanafk nafikir wanaanziaga kwenye ukoo wao ππNgoja siku me nikutende, utakuja kuandika uzi
Me hua ananisaidia maana sometimes nikogo mnyonge kama wewe ila kamanda Depal amenisaidia pakubwaπ€£Kumbe ndo zake tungeelewana sana shida yangu siwez kujitetea live Yani Bora unipe mda au nijitetee Kwa ujumbe nafikir nakuwa huru ila live alafu nimekwazika kilaneno halitoki mdomoni mwisho machozi tu πππ
Nikijikaza nisilie hapo nitaondok nikalilie mbele huko ππ
Nafikir rafikizangu wamenotice Ilo wao ndo wamekuwa wasemaji wanapitiliza
Huo ubavu kwqnza hanaNyie hamuwez bhana wanafk nafikir wanaanziaga kwenye ukoo wao ππ
Uzembe tu π€£π€£π€£Kumbe ndo zake tungeelewana sana shida yangu siwez kujitetea live Yani Bora unipe mda au nijitetee Kwa ujumbe nafikir nakuwa huru ila live alafu nimekwazika kilaneno halitoki mdomoni mwisho machozi tu πππ
Nikijikaza nisilie hapo nitaondok nikalilie mbele huko ππ
Nafikir rafikizangu wamenotice Ilo wao ndo wamekuwa wasemaji wanapitiliza
Sijashindwa. Kukusuta mwenyewe mpk nije kukuwekea uzi π€£Ngoja siku me nikutende, utakuja kuandika uzi
Umejifanya nicheke kunamtu nilimsimulia kitu akaniuliza ukamjibu nn nikamwambia sijamjibu kitu nikaondoka akanambia wew fala kweli πππukamuangalia tu ikabid nianze kucheka πππUzembe tu π€£π€£π€£
Kwakwel siwezi mtenda, nakapenda sana hako katoto π₯°Nyie hamuwez bhana wanafk nafikir wanaanziaga kwenye ukoo wao ππ
Na unavyosuta wewe nahisi nitazimia kwa kichambo hyo siku π€£π€£Sijashindwa. Kukusuta mwenyewe mpk nije kukuwekea uzi π€£
Hongera nami natamni iwe hivo kwakweli japo now mamaangu kidogo sabbu siwez mshirikisha kilakitu lakin at least najua hawez kuwa na unafki Kwenye mafanikioynguRafiki ni mke wangu na watoto wangu; wengine ni kubadilishana mawazo tu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nitamwaribu π€£π€£π€£
Af nimekumbuka, Yule mwehu alokufata Pm anakwambia me nitakuharibu mpe salamu zangu,, nitamuharibu yeye kwanza kabla sijawaharibu niwapendao
Narudia, napenda rafiki mtata, yaani tutaivana balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitamwaribu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Af nimekumbuka, Yule mwehu alokufata Pm anakwambia me nitakuharibu mpe salamu zangu,, nitamuharibu yeye kwanza kabla sijawaharibu niwapendao