Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Hivi mwanaume ukinyonywa shingo unaweka pozi gani? sura na macho yanakuwa kwenye Hali gani?😂
 
Shingoni nitaruhusu normal kisses sio kunyonywa 5 up to 10 minutes uko hapo😂
Naona kama namilikiwa na mwanamke,napenda nimmiliki mwanamke kwenye 6*6 yaan naweza lamba pua na kwapa
 
Shingoni nitaruhusu normal kisses sio kunyonywa 5 up to 10 minutes uko hapo[emoji23]
Naona kama namilikiwa na mwanamke,napenda nimmiliki mwanamke kwenye 6*6 yaan naweza lamba pua na kwapa
[emoji2]Kwa hiyo wewe hata mwanamke wako hutoruhusu akukalie kwa juu sababu utahisi anakumiliki? Acha hizo bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenyewe wanaamini wakisumbua kama hivyo ndo wanapandisha thamani zao kumbe ni ushamba tu.
 
Najiona mimi kwenye hii comment!
 
Mwanaume ambaye hanipi attention japo kidogo, yupo busy busy, hakutafuti hadi umpigie mwenyewe, usipomtafuta ndiyo imeisha hiyo, hadi nakua najiuliza am i his babe au jirani yake? Yaani kama mimi ndiye mwenye shida naye sana aah. Inaboa
Wanawake ndo wana tabia hii mara nyingi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…