mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Si kila mtu wa kuona[emoji16]Mambk besty....vipi na wewe unawapigaga wanaume wa jf vibomu ili waone tako skonsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kila mtu wa kuona[emoji16]Mambk besty....vipi na wewe unawapigaga wanaume wa jf vibomu ili waone tako skonsi
Noma sana.[emoji1][emoji1][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haupendi wamama mchungaji? Tunakuombea nk hutaki?🤔Bas Ukija kuachana na umama uchungaji jibu pm .....i think it ll be a good begining😁
Basi hauko sawa kichwaniMimi mwanamke akisha kua mwongo mwongo na msaliti ni mwasi kwangu naweza hata nikamchinja kabisa mimi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Achana na ujangili wewe 😅😅😅Watu wambea, eeh Mungu niondolee hawa mbwa kwenye maisha yangu
Kuna tembo wako nimemuua?😁😁Achana na ujangili wewe 😅😅😅
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanamke anae chepuka na polis wanakera ukizngua tu ndani wiki na ukitoa mzamana haukubaliki mungu anawaona dadeki.
Umejibu vema sana kuhusu kuvumiliana....Kwa nini nawe usimvumilie huyu "Mwanaume ambaye hanipi attention japo kidogo, yupo busy busy, hakutafuti hadi umpigie mwenyewe, usipomtafuta ndiyo imeisha hiyo, hadi nakua najiuliza am i his babe au jirani yake? Yaani kama mimi ndiye mwenye shida naye sana aah. Inaboa"Aisee basi inawezekana, sasa kama ndiyo mapungufu yangu je haina kuvumiliana?
Mwanaume mchoyo/ mbahili unamtafsiri vipiMwanaume mchoyo/ bahili.
[emoji23][emoji23] hii kaliMwanamke anae chepuka na polis wanakera ukizngua tu ndani wiki na ukitoa mzamana haukubaliki mungu anawaona dadeki.
Huyo jeuri nimtoka kuachana naye juzi tu mwanamke mjuaji Kila kitu anajiona Yuko sawa, anachotaka yeye ndiyo ufate Yani shida tupu ,nimeshindwa nikaachana naye tu
Kama usemayo yana ukweli wacha nijilipue huko PM [emoji41]We toa hela,kwani ukiila kila wakati inaisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa wanaume tusio waongeaji tunapenda wanawake waongeaji..ni mwendo wa kuitikia tu mhuu..thou kuna wakati wanaboa sana mana unatamani utulivu yeye anabwabwaja domo.
#MaendeleoHayanaChama