Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Aah sasa kwenye mahusiano unamaanisha inakuaje? Mnaangalia nini?
Wala sio kwamba kuna kitu kinaangaliwa. Binadam jinsia zote mbili tunamapungufu, ambayo mtu akikupenda, kwa namna moja au nyingine atatafuta namna ya kuyavumilia au kuishi nayo.

Mtu kama hakupendi ni hakupendi tu, hata uwe unakata viuno kama feni.

Penzi lolote jipya huwa linakuwaga na vibe, ila after kufunuana mara kadhaa, hapo ndio inabidi kuwepo na sababu ya kuwafanya muendelee kushikamana, kinyume na hapo, kuna mmoja ataoneshwa kila aina ya rangi.

Utakaa uumize kichwa labda kuna sehemu unakosea, ila ukweli wa kuwa hupendwi unauruka.

Anayekupenda, ukikosea chochote, lazima atasema maana anavalue uwepo wako
 
Habarini wanajamvi . Natumai n i wazima wa afya.

Kam mada inavyosema. Kwa upande wakounamuogopa au hupendi kuingia kwenye mahusiano na mwanamke au mwanaume gani?

Kwa upande wangu mwanamke muongo muongo daaaaahh ananikata stimu kabsA yan. Niliwahi kudate na mwanamke miaka mitatu kumbe nimedanganywa nyumbani kwao yan anapoishi na hata kabila lake..

Kwa upande wenu imekaaje hii?
Mwanaume kimbelefront, yani yeye muda wote ni kuongea kuhusu kile kijumba anachojenga hapo ushuani na uongo mwingine mwingi.

Mwanaume ety yeye na social networks social networks na yeye ety anaingia hadi tiktok eeeh

Mwanaume yule ety umepika nin nije kula kwa week hadi mara 3 unakuja ehh walahi wabilah week inayofuata nakupa bonge la mjibu maan unisaidii kununua viroba vya mchele na maisha yenyewe yako juu shwain.

Mwingine sa yani yeye ety amekuja kwangu siku moja ety anaanza niuliza umepanga nyumba yote hii si ukae kweny chumba kimoja khaaaaa yani kwa kua ww unaish kwa dada ako unataka na mim shenzii kabisa.
 
Mwanamke mwenye limdomo likiongea kama limewekewa beteri, jeuri, mbishi, anajibu mkato, mchepuko, muongo, kisirani, mjuaji, anachoongea yeye anajiona yuko sahihi ila wengine sasa n.k
Huyo jeuri nimtoka kuachana naye juzi tu mwanamke mjuaji Kila kitu anajiona Yuko sawa, anachotaka yeye ndiyo ufate Yani shida tupu ,nimeshindwa nikaachana naye tu
 
Wala sio kwamba kuna kitu kinaangaliwa. Binadam jinsia zote mbili tunamapungufu, ambayo mtu akikupenda, kwa namna moja au nyingine atatafuta namna ya kuyavumilia au kuishi nayo.

Mtu kama hakupendi ni hakupendi tu, hata uwe unakata viuno kama feni.

Penzi lolote jipya huwa linakuwaga na vibe, ila after kufunuana mara kadhaa, hapo ndio inabidi kuwepo na sababu ya kuwafanya muendelee kushikamana, kinyume na hapo, kuna mmoja ataoneshwa kila aina ya rangi.

Utakaa uumize kichwa labda kuna sehemu unakosea, ila ukweli wa kuwa hupendwi unauruka.

Anayekupenda, ukikosea chochote, lazima atasema maana anavalue uwepo wako
Legendary

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom