Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Mwanaume kimbelefront, yani yeye muda wote ni kuongea kuhusu kile kijumba anachojenga hapo ushuani na uongo mwingine mwingi.

Mwanaume ety yeye na social networks social networks na yeye ety anaingia hadi tiktok eeeh

Mwanaume yule ety umepika nin nije kula kwa week hadi mara 3 unakuja ehh walahi wabilah week inayofuata nakupa bonge la mjibu maan unisaidie kununua viromba vya mchele na maisha yenyewe yako juu shwain.

Mwingine sa yani yeye ety amekuja kwangu siku moja ety anaanza niuliza umepanga nyumba yote hii si ukae kweny chumba kimoja khaaaaa yani kwa kua ww unaish kwa dada ako unataka na mim shenzii kabisa.
Ungemjib umezoea kuishi kwenye nyumba siyo chumba
 
Binafsi sipendagi wanawake waswahili kuna manzi mmoja nilikutana nae somewhere nakumbuka nilimnunulia msosi na nikampa hela ya bodaboda na nikachua namba nilikuwa nachart nae vizuri nilipanga nae kama miadi Mara nne nahakutokea sehemu tuliopanga kukutana nae akanipa visingizio vya ovyo sijui msiba ulitokea siku nyingine Mara ooh Mama anaumwa.siku nyingine yeye ndio alipanga akasema atanipitia sehemu nilipo imepita massa 2 demu atokei wakati yeye ndio aliniambia simu nampigia inaita alafu haipokelewi. Eti baadae kabisa anakuja kunipigia anasema nilikuwa sijisikii tu kupokea simu dah nilimmind ila sikumwambia utadhani huyo manzi ni binti mdogo kumbe ni dada mtu mzima ana miaka 28.Baada yakuona miyeyusho ni Mingi nikaamua nisiwe napokea simu yake wala kumjibu message zake.

Siku Moja akanipigia kwa namba ngeni akaanza kunipa lawama ooh sasa hiv simjali Mara ooh ninamchunia wakati akiniomba hela nampa ila nikiomba meet aji nikaona huyu manzi akili hana kwasababu alishakula pesa zangu Sana nikamwambia nataka kesho uje tuonaone usipo kuja naomba ufute namba yangu ya simu tusitafutane naona unaniletea pigo za kishamba demu akaja nikamla siku hiyo hiyo ila alinichezesha si mchezo na siku hiyo hiyo baada ya kumaliza nae sex sikumtafuta na namba yake nikaifuta maana si kea upuuzi wa kijinga aliyonifanyia
Alikuona fala sana
 
Kwa kweli vigezo ni vingi kwa kuvitaja, lakini trust me mwanamke aliye muongeaji sana ana kata stimu vibaya mnooo
Kwa wanaume tusio waongeaji tunapenda wanawake waongeaji..ni mwendo wa kuitikia tu mhuu..thou kuna wakati wanaboa sana mana unatamani utulivu yeye anabwabwaja domo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwanamke ambaye ukimtania kuwa ntakutoa outing,yeye anashikilia bango,kila saa anakumbushia,na ukimwambia nilikuwa nakutania basi ananuna balaa...
 
Back
Top Bottom