Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Yote tisa ,kumi mwanamke akiwa mshabiki wa Simba au Man united amenikosa ..
utajiju…!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote tisa ,kumi mwanamke akiwa mshabiki wa Simba au Man united amenikosa ..
Umefika mbali sana mkuu.Nimejibu mada iliyoko jukwaani kutoka ndani ya uvungu wa moyo na si vinginevyo kama nimekukwaza samahaniTuue bas
😂 😂😂ivi ee,sijashtukiaasante sanaa. leo kila kijiwe tukikutana unanifariji 😁😁
Hapana kipenz,mi huwa nacomment tu yaanUmefika mbali sana mkuu.Nimejibu mada iliyoko jukwaani kutoka ndani ya uvungu wa moyo na si vinginevyo kama nimekukwaza samahani
Labda Kwa upande wako ila sio kwanguutajiju…!
Leo tupo live pamoja...mkuu😂 😂😂ivi ee,sijashtukia
Pamoja mkuuHapana kipenz,mi huwa nacomment tu yaan
Duh huyu hata nikimuona barabarani napita mbaliMwanamke yeyote mwenye kadi ya Ccm , kaa naye mbali sana.
kabisamwanamke omba omba yaani mwenye shida kunizidi mm huyo cmtaki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]manake nicheke kwanzaHabari imfikie msomali mwenye dramaz zake.
Huyo bidada sitakaa nimsahau alivyomuongo hadi shetani aweza kusomea kozi. [emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3]Mwanamke omba omba inatia hasira anaomba pesa bila mpangilio inaudhi tafuteni za kwenu mpenzi sio baba ako
Ushamba wangu kama upi?Na wewe pia una’kaujinga na ka’ushamba flani hivi badirika
Tuko pamoja mguu, we dont have time for bitches [emoji23][emoji23][emoji48][emoji419]Mwanamke ambae sijamkuta virgin sio kwamba siwezi kuwa nae kwenye mahusiano no, ila simuheshimu tu (sijui kwanini ila ndo hivyo)
Hamna mwanamke ambae naogopa kuwa na mahusiano nae ila si-feel proud kuwa na mwanamke ambae ashakatwa utepe... Though naweza kuwa nae ila ndo hivyo siku akitokea ambae nitamkuta bado nampiga chini malaya.
Utakuwa huna vibeMwanaume ambaye hanipi attention japo kidogo, yupo busy busy, hakutafuti hadi umpigie mwenyewe, usipomtafuta ndiyo imeisha hiyo, hadi nakua najiuliza am i his babe au jirani yake? Yaani kama mimi ndiye mwenye shida naye sana aah. Inaboa
Inawezekana, ila kuwa na vibe ndiyo kuwaje? Nisaidie huenda ikanisaidiaUtakuwa huna vibe