Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Namuogopa mwanamke mwenye makalio makubwa, anaetoa 0713 huyo simtaki
 
Habari imfikie msomali mwenye dramaz zake.
Huyo bidada sitakaa nimsahau alivyomuongo hadi shetani aweza kusomea kozi. [emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]manake nicheke kwanza
 
Mwanaume ambaye hanipi attention japo kidogo, yupo busy busy, hakutafuti hadi umpigie mwenyewe, usipomtafuta ndiyo imeisha hiyo, hadi nakua najiuliza am i his babe au jirani yake? Yaani kama mimi ndiye mwenye shida naye sana aah. Inaboa
 
Mwanamke ambae sijamkuta virgin sio kwamba siwezi kuwa nae kwenye mahusiano no, ila simuheshimu tu (sijui kwanini ila ndo hivyo)

Hamna mwanamke ambae naogopa kuwa na mahusiano nae ila si-feel proud kuwa na mwanamke ambae ashakatwa utepe... Though naweza kuwa nae ila ndo hivyo siku akitokea ambae nitamkuta bado nampiga chini malaya.
Tuko pamoja mguu, we dont have time for bitches [emoji23][emoji23][emoji48][emoji419]
 
Mwanaume ambaye hanipi attention japo kidogo, yupo busy busy, hakutafuti hadi umpigie mwenyewe, usipomtafuta ndiyo imeisha hiyo, hadi nakua najiuliza am i his babe au jirani yake? Yaani kama mimi ndiye mwenye shida naye sana aah. Inaboa
Utakuwa huna vibe
 
Back
Top Bottom