DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Kisirani Ni Nini [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisirani Ni Nini [emoji848]
As usual 😜Jirani nimepita, ahsante Kwa Tag... 😘😘
Poleni sana Jirani...
Sijawahi kukerwa na chochote...
wakuu huyu tunamjadili saa ngapi?naona anataka kuanza kutishia amaniMe ubahili unatibika vizuri tu na hela unatoa, ila mwanaume mkatili simuwezi......
Hahahaha, Pastor Lukuksiko......Mchungaji nimekaa pembeni naangalia changamoto za waamini.Msijisahaulishe kutoa sadaka au kujidai mna noti kubwakubwa.Hapa kuna chenji hadi ya noti ya elfu ishirini.
Ninah roho ya chuma jirani...As usual 😜
Wanawake wenye akili wapo wachache wengine unawashangaa kabisa wanakula hadi nauli naatokei unajiuliza hizi ni njaa za namna gani alafu hela yenyewe ya nauli ni 5000 uliomtumia
DeepPond Ni ile hali ya mtu kukaa na kitu rohoni we Unaweza kudhani jambo fulani limeisha baada ya kusameana kumbe mwenzako bado kuitikia tu rohoni kalibebaKisirani Ni Nini [emoji848]
Hakika nimeiona🥳Ninah roho ya chuma jirani...
Mwanamke asiye msikivu.Habarini wanajamvi . Natumai n i wazima wa afya.
Kam mada inavyosema. Kwa upande wakounamuogopa au hupendi kuingia kwenye mahusiano na mwanamke au mwanaume gani?
Kwa upande wangu mwanamke muongo muongo daaaaahh ananikata stimu kabsA yan. Niliwahi kudate na mwanamke miaka mitatu kumbe nimedanganywa nyumbani kwao yan anapoishi na hata kabila lake..
Kwa upande wenu imekaaje hii?
Labda umuumbe wee mwenyewe lakini sio katika dunia hii. Wanavyopenda de libolo hawa wanawake useme ati mbususu yako peke yako 🤣🤣🤣🤣🤣Asiyechepuka
Na wewe pia una’kaujinga na ka’ushamba flani hivi badirikaBinafsi sipendagi wanawake waswahili kuna manzi mmoja nilikutana nae somewhere nakumbuka nilimnunulia msosi na nikampa hela ya bodaboda na nikachua namba nilikuwa nachart nae vizuri nilipanga nae kama miadi Mara nne nahakutokea sehemu tuliopanga kukutana nae akanipa visingizio vya ovyo sijui msiba ulitokea siku nyingine Mara ooh Mama anaumwa.siku nyingine yeye ndio alipanga akasema atanipitia sehemu nilipo imepita massa 2 demu atokei wakati yeye ndio aliniambia simu nampigia inaita alafu haipokelewi. Eti baadae kabisa anakuja kunipigia anasema nilikuwa sijisikii tu kupokea simu dah nilimmind ila sikumwambia utadhani huyo manzi ni binti mdogo kumbe ni dada mtu mzima ana miaka 28.Baada yakuona miyeyusho ni Mingi nikaamua nisiwe napokea simu yake wala kumjibu message zake.
Siku Moja akanipigia kwa namba ngeni akaanza kunipa lawama ooh sasa hiv simjali Mara ooh ninamchunia wakati akiniomba hela nampa ila nikiomba meet aji nikaona huyu manzi akili hana kwasababu alishakula pesa zangu Sana nikamwambia nataka kesho uje tuonaone usipo kuja naomba ufute namba yangu ya simu tusitafutane naona unaniletea pigo za kishamba demu akaja nikamla siku hiyo hiyo ila alinichezesha si mchezo na siku hiyo hiyo baada ya kumaliza nae sex sikumtafuta na namba yake nikaifuta maana si kea upuuzi wa kijinga aliyonifanyia
Nani huyo tumchapeMwanamke ambaye anakua anatoa siri zetu nje kwa watu wengine,
Mwanamke wa hivi hafai kabisa kuaminiwa hata kupewa uchafu tu ili akautupe dampo.
Hata akiwa omba omba?Tom Boy tu wengine tunaishi nao