Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hahaha fafanua kidogoGlenn wewe ni mtu wanamna gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha fafanua kidogoGlenn wewe ni mtu wanamna gani?
🤣🤣🤣Kuna mmja juzi nlimuona alaf mama mtu mzima nikasema huyu ni ndege chiriku katoroka mbugani
Raha ya kuwa na hela mwanaume ni uwezo wa kusasambua mbususu pisi kaliKivuruge umefika?
Yaani kwako hakuna maisha nje ya mbususu?Raha ya kuwa na hela mwanaume ni uwezo wa kusasambua mbususu pisi kali
Je unahasira au mpole au upojeHahaha fafanua kidogo
Si ndio huu ujinga tulifanyaga? Kwa pro max!! Matokeo yake ndio tukamfundisha uchoyo mazima 🤣🤣🤣Hahaha tuyaache hayo totoo but huwa nacheeka sana.
Kuna mtu unaweza kumpenda na ukatamani kabisa hata umsapoti but yeye anaanza kujiharibia mapema.
Namna bora ya kum win mwanaume.
Epuka njaa ndogo ndogo za mapema.
Kuwa na subira
Wanawake wenye akili wapo wachache wengine unawashangaa kabisa wanakula hadi nauli naatokei unajiuliza hizi ni njaa za namna gani alafu hela yenyewe ya nauli ni 5000 uliomtumiaEty babe sijakula.......Kipindi ujawa na mahusiano na mim ulikua unakula wapi.... wanaume wananakazi ccy 🤣🤣🤣🤣
Maishi ni mbususu bwana kwani wee uhai umepata nje ya mbususu🤣🤣🤣Yaani kwako hakuna maisha nje ya mbususu?
we ni mmeru? 😂😂😂 Nimezoea kuona wameru na chaganian sana wakitumia totoototoo
Zigo la kuvunja chaga 🤣🤣🤣Kumbe nyie mnaangalia makalio tu🤣🤣🤣
Umeongea point ya msingi Sana nakaziaMe nazungumzia wanawake Wapenda vitonga hyo ndo dawa yao
Alafu wadada wa sa hv wakiombwa namba wanachowaza ni kukunwa na pesa......Kuna mabinti wa ovyo sana mkuu
Aisee wanawake wa namna hii wanaboa....mnapanga kuonana alafu last minute anakuja na kisingizio. Wanakera sana tuu.Binafsi sipendagi wanawake waswahili kuna manzi mmoja nilikutana nae somewhere nakumbuka nilimnunulia msosi na nikampa hela ya bodaboda na nikachua namba nilikuwa nachart nae vizuri nilipanga nae kama miadi Mara nne nahakutokea sehemu tuliopanga kukutana nae akanipa visingizio vya ovyo sijui msiba ulitokea siku nyingine Mara ooh Mama anaumwa.siku nyingine yeye ndio alipanga akasema atanipitia sehemu nilipo imepita massa 2 demu atokei wakati yeye ndio aliniambia simu nampigia inaita alafu haipokelewi. Eti baadae kabisa anakuja kunipigia anasema nilikuwa sijisikii tu kupokea simu dah nilimmind ila sikumwambia utadhani huyo manzi ni binti mdogo kumbe ni dada mtu mzima ana miaka 28.Baada yakuona miyeyusho ni Mingi nikaamua nisiwe napokea simu yake wala kumjibu message zake.
Siku Moja akanipigia kwa namba ngeni akaanza kunipa lawama ooh sasa hiv simjali Mara ooh ninamchunia wakati akiniomba hela nampa ila nikiomba meet aji nikaona huyu manzi akili hana kwasababu alishakula pesa zangu Sana nikamwambia nataka kesho uje tuonaone usipo kuja naomba ufute namba yangu ya simu tusitafutane naona unaniletea pigo za kishamba demu akaja nikamla siku hiyo hiyo ila alinichezesha si mchezo na siku hiyo hiyo baada ya kumaliza nae sex sikumtafuta na namba yake nikaifuta maana si kea upuuzi wa kijinga aliyonifanyia
Wengine sio njaa .. wengine wanakuwa wanawatimua kijanja..Wanawake wenye akili wapo wachache wengine unawashangaa kabisa wanakula hadi nauli naatokei unajiuliza hizi ni njaa za namna gani alafu hela yenyewe ya nauli ni 5000 uliomtumia
Sema wanaume na mwanamke mchepukaji hamnaga msalie Mtume 🏃Mwanamke anayependa ushirikina / ulozi ni hatari mnooooo.
Hata mchepukaji ni muuaji huyo
Unafahamu vyema mimi sio mzaliwa wa kaskazini😂we ni mmeru? 😂😂😂 Nimezoea kuona wameru na chaganian sana wakitumia totoo
Naona linatumika sana hukuUnafahamu vyema mimi sio mzaliwa wa kaskazini😂
Hili neno totoo nalielewa sana...acha nisitoboe siri totoo😅😅
Acha uchokoziNi wewe nini