Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Mhhh ety Nina daladala mbili mara nina biashara yangu fulani imekua hivi na hivi mara sijui mtu fulani mashuhuri nlikua nae akaniomba namba badae ananipiga mizinga........Mie namchora tu hyo siku kasema jion tutoke ntakughalamia kila kitu nkasema sawa kufika anauliza bei ya maji, anauliza hadi bei ya kinywaji nlichoagiza.... nkamwambia muhudu mi ntajilipia na huyu atajilipia nlikua nmetoka kupokea pesa ya kikoba........ akasema tuagize chakula nkaagiza kuku akauliza ni sh ngap me nkamwambia ntajilipia nkaagiza kuku mzima nusu afunge nusu nakula hapo hapo.......nkala peke yangu huku anatoa mimacho nkamaliza nkamblock hapo nmekaa nkampa elfu kumi ya nauli nkaita taxi huyo masafa
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndg yangu ukiona mwanaume anakuita geto day one na anataka mbususu siku hiyo hiyo pole hapo umekosea.
Kwa kifupi amekudharau kuwa wewe ni cheap.

Nafikiri ujinga huo sijawahi kufanya na sitarajii.
Sipendi mwanamke cheap kiasi hicho
Me nazungumzia wanawake Wapenda vitonga hyo ndo dawa yao

Alafu wadada wa sa hv wakiombwa namba wanachowaza ni kukunwa na pesa......Kuna mabinti wa ovyo sana mkuu
 
Me nazungumzia wanawake Wapenda vitonga hyo ndo dawa yao

Alafu wadada wa sa hv wakiombwa namba wanachowaza ni kukunwa na pesa......Kuna mabinti wa ovyo sana mkuu
Sekta ya mapenzi umechafuka sana
 
Habarini wanajamvi . Natumai n i wazima wa afya.
Kam mada inavyosema. Kwa upande wakounamuogopa au hupendi kuingia kwenye mahusiano na mwanamke au mwanaume gani?
Kwa upande wangu mwanamke muongo muongo daaaaahh ananikata stimu kabsA yan. Niliwahi kudate na mwanamke miaka mitatu kumbe nimedanganywa nyumbani kwao yan anapoishi na hata kabila lake..

Kwa upande wenu imekaaje hii.?
Mwanamke mlevi
 
Me nazungumzia wanawake Wapenda vitonga hyo ndo dawa yao

Alafu wadada wa sa hv wakiombwa namba wanachowaza ni kukunwa na pesa......Kuna mabinti wa ovyo sana mkuu
Yaa nakuelewa hapo niliongelea jenero rafiki yangu
 
Ndg yangu ukiona mwanaume anakuita geto day one na anataka mbususu siku hiyo hiyo pole hapo umekosea.
Kwa kifupi amekudharau kuwa wewe ni cheap.

Nafikiri ujinga huo sijawahi kufanya na sitarajii.
Sipendi mwanamke cheap kiasi hicho
Sio kweli kuna manzi mmoja nilimwita ghetto day 1 na nilimla na akawa ni girlfriend wangu hiyo inategemea binafsi nilifanya hivyo kwasababu nilikuwa kwenye nyege lakini pia ni manzi Nilimpenda kwa moyo ilinilazimisha nimwite ghetto kama nilivyokwambia nilikuwa nina nyege mno sijafanya sex kama miezi 7 hivi sio kwamba demu unamwita ghetto day 1 eti umemdharau la hasha!
Mawazo ya Lovelovie yapo sahihi
 
Sio kweli kuna manzi mmoja nilimwita ghetto day 1 na nilimla na akawa ni girlfriend wangu hiyo inategemea binafsi nilifanya hivyo kwasababu nilikuwa kwenye nyege lakini pia ni manzi Nilimpenda kwa moyo ilinilazimisha nimwite ghetto kama nilivyokwambia nilikuwa nina nyege mno sijafanya sex kama miezi 7 hivi sio kwamba demu unamwita ghetto day 1 eti umemdharau la hasha!
Mawazo ya Lovelovie yapo sahihi
Nakumbuka hii story brother
 
Sio kweli kuna manzi mmoja nilimwita ghetto day 1 na nilimla na akawa ni girlfriend wangu hiyo inategemea binafsi nilifanya hivyo kwasababu nilikuwa kwenye nyege lakini pia ni manzi Nilimpenda kwa moyo ilinilazimisha nimwite ghetto kama nilivyokwambia nilikuwa nina nyege mno sijafanya sex kama miezi 7 hivi sio kwamba demu unamwita ghetto day 1 eti umemdharau la hasha!
Mawazo ya Lovelovie yapo sahihimmh ni nadra sana
 
Back
Top Bottom