Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Mhhh ety Nina daladala mbili mara nina biashara yangu fulani imekua hivi na hivi mara sijui mtu fulani mashuhuri nlikua nae akaniomba namba badae ananipiga mizinga........Mie namchora tu hyo siku kasema jion tutoke ntakughalamia kila kitu nkasema sawa kufika anauliza bei ya maji, anauliza hadi bei ya kinywaji nlichoagiza.... nkamwambia muhudu mi ntajilipia na huyu atajilipia nlikua nmetoka kupokea pesa ya kikoba........ akasema tuagize chakula nkaagiza kuku akauliza ni sh ngap me nkamwambia ntajilipia nkaagiza kuku mzima nusu afunge nusu nakula hapo hapo.......nkala peke yangu huku anatoa mimacho nkamaliza nkamblock hapo nmekaa nkampa elfu kumi ya nauli nkaita taxi huyo masafa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbavuu zanguu sis pullliiizzzzzzzzzzzzzzz [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!
 
Mhhh ety Nina daladala mbili mara nina biashara yangu fulani imekua hivi na hivi mara sijui mtu fulani mashuhuri nlikua nae akaniomba namba badae ananipiga mizinga........Mie namchora tu hyo siku kasema jion tutoke ntakughalamia kila kitu nkasema sawa kufika anauliza bei ya maji, anauliza hadi bei ya kinywaji nlichoagiza.... nkamwambia muhudu mi ntajilipia na huyu atajilipia nlikua nmetoka kupokea pesa ya kikoba........ akasema tuagize chakula nkaagiza kuku akauliza ni sh ngap me nkamwambia ntajilipia nkaagiza kuku mzima nusu afunge nusu nakula hapo hapo.......nkala peke yangu huku anatoa mimacho nkamaliza nkamblock hapo nmekaa nkampa elfu kumi ya nauli nkaita taxi huyo masafa

Hata sisi tunakutana na vituko kwenye outing basi tu tunaamuaga kula kimya.
 
Namwogopa mwanaume ambaye nampa nafasi anikule afu yeye ananisubirisha....nahisigi Kuna walakini na mkuyenge wake....🙄
Hapo ujue pia wapo wanaume wenye uchaguzi wao...ndio maana kuna mahali hatskiwi lkn anang'ang'ania...kuna mahali anaitwa akapige mzigo anasuasua ujue hajavutiwa labda
 
Hatujaelewa
Sophy;
Mwanaume anapokuja kwako kuna kitu anatafuta na hicho akikipata na moyo wake ukafurahi pesa si kitu atakupa utakacho sawa na uwezo wake.

Vitu hivyo vyaweza kuwa;

Furaha ya moyo kwa jinsi utakavyo muhandle,
mvuto wako wa nje akitegemea na ndani ndivyo ulivyo,
hekima na busara zako,
ushauri mzuri nk ..hapa ukiweza kuuteka moyo wake umevipata na vyake vyote.
 
Sophy;
Mwanaume anapokuja kwako kuna kitu anatafuta na hicho akikipata na moyo wake ukafurahi pesa si kitu atakupa utakacho sawa na uwezo wake.

Vitu hivyo vyaweza kuwa;

Furaha ya moyo kwa jinsi utakavyo muhandle,
mvuto wako wa nje akitegemea na ndani ndivyo ulivyo,
hekima na busara zako,
ushauri mzuri nk ..hapa ukiweza kuuteka moyo wake umevipata na vyake vyote.
Mimi haya sitaki hata kuyasikia sahiz😂😂najionea maluelue tu wanaume hamuelewekag mnatak nn
 
Mimi haya sitaki hata kuyasikia sahiz😂😂najionea maluelue tu wanaume hamuelewekag mnatak nn
Mnakosea sana.
Wanaume hatufanani mahitaji acheni kudanganyana huko kwa makungwi uchwara.
Kila mtu ana kitu/ vitu anavyovitamani kwa mwanamke.

Mimi nikikutana na mwqnamke aliyekomaa akili na ana akili njema yaani hekima flani...tayati mvuto unaanzia hapo.
Yapo mengine madogo madogo lkn kwangu namba moja ni kichwani...
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka karibu nipaliwe na mate.

Kweli ulipatikana
Alijipata yeye me nilivoona kumbe Hili chizi eeeh nkasema nlikomeshe kwanza......
 
Mnakosea sana.
Wanaume hatufanani mahitaji acheni kudanganyana huko kwa makungwi uchwara.
Kila mtu ana kitu/ vitu anavyovitamani kwa mwanamke.

Mimi nikikutana na mwqnamke aliyekomaa akili na ana akili njema yaani hekima flani...tayati mvuto unaanzia hapo.
Yapo mengine madogo madogo lkn kwangu namba moja ni kichwani...
Kungwi gani Sasa na wew unaanza kunisema Tena nimesema nachokifahamu na sijasema wanaume wote wabaya wema wapo na wna hekima ila ni wachache sana
 
Back
Top Bottom