Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbavuu zanguu sis pullliiizzzzzzzzzzzzzzz [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!Mhhh ety Nina daladala mbili mara nina biashara yangu fulani imekua hivi na hivi mara sijui mtu fulani mashuhuri nlikua nae akaniomba namba badae ananipiga mizinga........Mie namchora tu hyo siku kasema jion tutoke ntakughalamia kila kitu nkasema sawa kufika anauliza bei ya maji, anauliza hadi bei ya kinywaji nlichoagiza.... nkamwambia muhudu mi ntajilipia na huyu atajilipia nlikua nmetoka kupokea pesa ya kikoba........ akasema tuagize chakula nkaagiza kuku akauliza ni sh ngap me nkamwambia ntajilipia nkaagiza kuku mzima nusu afunge nusu nakula hapo hapo.......nkala peke yangu huku anatoa mimacho nkamaliza nkamblock hapo nmekaa nkampa elfu kumi ya nauli nkaita taxi huyo masafa