Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Acha kabisa.
Unakutana na binti anakuvutia.
Day one
Narudia day one
Mnatoka out yaani anakutwisha shida za UKOO WAKE zote tena hapepesi macho heee.
Sijui niseme???🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Poleni wanaume mmeumbwa mateso.........Yani ukiona hvo ujue huyo mtu akutaki ndo anakukimbiza hivo
 
Binafsi sipendagi wanawake waswahili kuna manzi mmoja nilikutana nae somewhere nakumbuka nilimnunulia msosi na nikampa hela ya bodaboda na nikachua namba nilikuwa nachart nae vizuri nilipanga nae kama miadi Mara nne nahakutokea sehemu tuliopanga kukutana nae akanipa visingizio vya ovyo sijui msiba ulitokea siku nyingine Mara ooh Mama anaumwa.siku nyingine yeye ndio alipanga akasema atanipitia sehemu nilipo imepita massa 2 demu atokei wakati yeye ndio aliniambia simu nampigia inaita alafu haipokelewi. Eti baadae kabisa anakuja kunipigia anasema nilikuwa sijisikii tu kupokea simu dah nilimmind ila sikumwambia utadhani huyo manzi ni binti mdogo kumbe ni dada mtu mzima ana miaka 28.Baada yakuona miyeyusho ni Mingi nikaamua nisiwe napokea simu yake wala kumjibu message zake.

Siku Moja akanipigia kwa namba ngeni akaanza kunipa lawama ooh sasa hiv simjali Mara ooh ninamchunia wakati akiniomba hela nampa ila nikiomba meet aji nikaona huyu manzi akili hana kwasababu alishakula pesa zangu Sana nikamwambia nataka kesho uje tuonaone usipo kuja naomba ufute namba yangu ya simu tusitafutane naona unaniletea pigo za kishamba demu akaja nikamla siku hiyo hiyo ila alinichezesha si mchezo na siku hiyo hiyo baada ya kumaliza nae sex sikumtafuta na namba yake nikaifuta maana si kea upuuzi wa kijinga aliyonifanyia
Ww ndio kama mimi hizo ndio style zangu, nikishamla tu bhas tena😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Poleni wanaume mmeumbwa mateso.........Yani ukiona hvo ujue huyo mtu akutaki ndo anakukimbiza hivo
Ohoo kuna wanawake hawana akili dunia hii wewe.
Sasa kama hakutaki si asingetokea kwenye hiyo out?
Haina haja ya kumpa mtu hata namba ya simu kama humtaki eti
 
Acha kabisa.
Unakutana na binti anakuvutia.
Day one
Narudia day one
Mnatoka out yaani anakutwisha shida za UKOO WAKE zote tena hapepesi macho heee.
Sijui niseme???🤣🤣🤣
Demu mkionana tu njaa inamuanza.
 
M'ume Mjuaji, mbinafsi, mwenye majivuno na kujikweza, mpumbavu, mlevi, mvuta sigara, mpenda ngono km chakula, maskini nasema maskini sabbu siku akipata matako hulia mbwata..
 
Acha kabisa.
Unakutana na binti anakuvutia.
Day one
Narudia day one
Mnatoka out yaani anakutwisha shida za UKOO WAKE zote tena hapepesi macho heee.
Sijui niseme???🤣🤣🤣
Themaaaa!! 🤣😂!
Hapo Hamu zote zinakata khakhakhaaaa!
 
Themaaaa!! 🤣😂!
Hapo Hamu zote zinakata khakhakhaaaa!
Unajua mwanamke kuomba pesa au kusaidiwa sio tatizo ni sawa kabisa..
But timing.
Day one huwezi kujikaza!!!!
Why usivumilie kidogo tu huenda hata yeye atakupa bila kumuomba?.

Pili ukisubiria mahusiano yakikolea na mmezoeana ndipo muanze kushirikishana na hayo ya kiuchumi.
 
Unajua mwanamke kuomba pesa au kusaidiwa sio tatizo ni sawa kabisa..
But timing.
Day one huwezi kujikaza!!!!
Why usivumilie kidogo tu huenda hata yeye atakupa bila kukuomba?.

Pili ukisubiria mahusiano yakikolea na mmezoeana ndipo muanze kushirikishana na hayo ya kiuchumi.
So ulitatua Shida za ukooo?? 🤔🤔 Mahusiano ishakua biashara sikuhizi inasikitisha sana!!!
 
Ohoo kuna wanawake hawana akili dunia hii wewe.
Sasa kama hakutaki ai asingetokea kwenye hiyo out?
Haina haja ya kumpa mtu hata namba ya simu kama humtaki eti
Mwanamke awezi kua na akili kirahisi......siku ya kwanza muite geto siku ya pili hata akizingua ushamla hasara kwake🤣🤣🤣🤣
 
So ulitatua Shida za ukooo?? 🤔🤔 Mahusiano ishakua biashara sikuhizi inasikitisha sana!!!
Hahaha tuyaache hayo totoo but huwa nacheeka sana.
Kuna mtu unaweza kumpenda na ukatamani kabisa hata umsapoti but yeye anaanza kujiharibia mapema.

Namna bora ya kum win mwanaume.
Epuka njaa ndogo ndogo za mapema.

Kuwa na subira
 
Hahaha tuyaache hayo totoo but huwa nacheeka sana.
Kuna mtu unaweza kumpenda na ukatamani kabisa hata umsapoti but yeye anaanza kujiharibia mapema.

Namna bora ya kum win mwanaume.
Epuka njaa ndogo ndogo za mapema.

Kuwa na subira
Yeah anakua kajiharibia mwenyewe kwa kuendekeza njaa !!
Santo sana kwa hili desa totoo!!
 
Mwanamke awezi kua na akili kirahisi......siku ya kwanza muite geto siku ya pili hata akizingua ushamla hasara kwake🤣🤣🤣🤣
Ndg yangu ukiona mwanaume anakuita geto day one na anataka mbususu siku hiyo hiyo pole hapo umekosea.
Kwa kifupi amekudharau kuwa wewe ni cheap.

Nafikiri ujinga huo sijawahi kufanya na sitarajii.
Sipendi mwanamke cheap kiasi hicho
 
Back
Top Bottom