franklewis
Member
- Oct 30, 2022
- 15
- 29
mwanamke omba omba yaani mwenye shida kunizidi mm huyo cmtaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point99% kwa wanawake Hakunaga pesa ya bure miaka hii in one way or the other lazima utailipa tu!! Pesa inavua utuuu shauri yenu!
[emoji23] njaa kali rafiki.Wanawake wenye akili wapo wachache wengine unawashangaa kabisa wanakula hadi nauli naatokei unajiuliza hizi ni njaa za namna gani alafu hela yenyewe ya nauli ni 5000 uliomtumia
Nimetoa mfano tu.Nani huyo tumchape
Kuna kitu nahisi kutoka kwako!Nimetoa mfano tu.
Niambie ili utoe Dukuduku kwenye nafsi yako.Kuna kitu nahisi kutoka kwako!
D u hate me.... since yesterday?Niambie ili utoe Dukuduku kwenye nafsi yako.
Hate? I never hate anyone,and why should i have to hate u?D u hate me.... since yesterday?
Uwiii [emoji23]Mwanaume mfupi anaeza panda juu ya stuli akakupiga. Mwanaume mweupe ukimnyonya tu shingo kidogo kawa mwekundu kama nguruwe [emoji2961][emoji2961]
Oo yeah,at least nimepona moyoHate? I never hate anyone,and why should i have to hate u?
Kwani uliona nini mpaka ukahisi vile?Oo yeah,at least nimepona moyo
Sijui tu,ila kuna comment ulipitia moyo ukajishtukia....but it's OK...asante.,..kujihisi si kuzuriKwani uliona nini mpaka ukahisi vile?
😒
Pole sanaMwanmke ambae hanipi attention, hanipi muda wake, anaeleza sana matatizo yako lakn hanitengenezei mazingira nimueleze yangu, hathamini chochote namfanyia, anaumiza hisia zangu makusudi...
nimekutana nae mara .. asee huyu manzi kafanya sahii sina mzuka hata wa ku settle mahusiano.. in short siwaamini wanawake tena
Tuue basYote tisa ,kumi mwanamke akiwa mshabiki wa Simba au Man united amenikosa ..
asante sanaa. leo kila kijiwe tukikutana unanifariji 😁😁Pole sana