Unamuona huyu Mwanamke?

Huyu mangungu huyuuu...
Kwani kumpa mtu kitu chochote (awe mwanamke awe mwanaume) ni kuwekeza na usubiri mavuno? Unajua maana ya ''kutoa kwa hiari'? Huyo mwanamke huwa anakushikia bunduki ili umpe? Si wewe kwa unanga wako unaamua kujipendekeza ili akuone wa maana? Kama ni uwekezaji kwa nini usiende sehemu sahihi?
 
Yeye katoa angalizo ya kuwa usiweze kwa mwanamke kiasi ambacho inakufanya ushindwe kutekeleza malengo yako
 
Alichomaanisha mtoa mada ni kwamba usiwekeze kwa mwanamke sana kiasi ukashindwa kutekeleza malengo yako ulijiwekea kwenye maisha
 
Alichomaanisha mtoa mada ni kwamba usiwekeze kwa mwanamke sana kiasi ukashindwa kutekeleza malengo yako ulijiwekea kwenye maisha
Kwani mwanamke ni sehemu ya kuwekeza mpaka uwekeze kiasi cha kushindwa kutekeleza malengo yako? Hili ndilo swali langu. Yaani kwa kifupi msimamo wangu ni kuwa sehemu za kuwekeza ni sehemu kama kampuni, biashara, benki, kununua bonds nk. Lakini kwa mwanamke huwezi kuwekeza na ukiwekeza basi utakuwa ni mtu mjinga sana. Mwanamke kama una uhusiano naye au hata kama ni mke unampa zawadi au mahitaji nk kulingana na uwezo wako. Au zawadi ndiyo unasema ni kuwekeza?
 
Mwamba umeongea kitu cha msingi sana ina nigusa hata mimi manzi wangu sijamzoesha kuumpa hela kila anapohitaji, kuna siku akaniambia ujue kuna wanaume wengi wana hela wananihitaji me nikamjibu hivi kama wanakuhitaji unabaki na mimi ili iweje si uende ukaanzishe nao mahusiano sasa mimi nikusaidie nini. Tangu siku hiyo nilivyomjibu hivi hajawahi kuniletea ujinga tena zaidi ya kuzidisha upendo kwangu na heshima iliongezeka hiki ndicho kitu wanaume wanakosa kujiamini na kujipa thamani.Mfanye mwanamke wako ajione kwamba hana thamani anayojipa, shida vijana wengi wamempa mwanamke thamani kubwa ndio maana wanatawaliwa na wanawake.
 
Ndio mtoa mada anawaonya watu wanaofanya uwekezaji wewe uoni watu wanasomesha,wanafungulia biashara mademu zao n.k ndio kuwekeza kwenyewe huko Mwamba hivi vitu ujui kuna watu wanavifanya
 
Hatari...kweli shukran ya pundaà mateke
 
Tupo kwenye kizazi cha vijana wa kiume ambao wamezidiwa akili na wanawake.

Vijana. Wamekubali kushusha standards zao na kuwekewa standards za ovyo kabisa na wanawake
 
Tupo kwenye kizazi cha vijana wa kiume ambao wamezidiwa akili na wanawake.

Vijana. Wamekubali kushusha standards zao na kuwekewa standards za ovyo kabisa na wanawake
Wanaume wengi wanakuwa wadhaifu mbele ya mwanamke kwasababu ya mbususu na wanawake wanawajulia sana
 
Mzee wa pixel hadi ww huna imani na wanawake 😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu wenzetu wamekaa kimkakati mda wowote kunachangamka ooh
Mwanaume 50% penda familia yako na Mungu
45% jipende wewe mwenyewe
5% tena nyingi sana wanawake watano na subs tatu.
 
DON'T CONDEMN THE WOMEN,COZ ARE WEAK IN NATURE.
So we men should we pray for them so that god can remove all sin facing and bless them.AMEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…