Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Maisha ni vile unavyojichukulia, ukiruhusu kulia lia hovyo utalizwa kweli mpaka na watoto wadogo. Mahusiano bora lazima yawe ni two ways traffic, sio unapeenda wala unayempenda hashituki naye aoneshe appreciation. Tupa kule atakusumbua mpka ukome, bora pengo kuliko Juno bovu.
 
Only after going through a few heart breaks, rejections hapo sasa unaweza kuja na hii hoja. Heart breaks ni kitu kibaya kwa ustawi wa mahusiano.
 
Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda hafu yeye hana mpango nawewe..
Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore.

Ukiwa peke yako unakua unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio hana habari (He/she don't give a damn shit)
Unampenda sana unamuonyesha upendo wa kweli ila ha-Appreciate lolote ulifanyalo..unabaki kulia tu usiku wa manane unawaza hadi kujiua au kujiona mtu usie na maana maishani wakati YOU WORTHY MORE THAN BILLIONS BEFORE GOD.

Kwanini uvumilie yote hayo mateso kama vile huyo abayekutesa ndio binaadamu pekee alibaki ulimwenguni..Wewe unakonda mwenzio anatoka shavu dodo.

Penda unapopendwa, penda pale unapoona unapata mrejesho wenye thamani ya upendo unaotoa. Wapo wengi wanatamani wakupe upendo wa dhati ila uneqafumbia macho na kung'angani mtu mmoja asiyejua thamani yako na thamani ya upendo wako..

Usilazimishe kupendwa,
Usilazimishe mawasiliano
Usilazimishe urafiki
Usilazimishe kupenda
Fura inachukuliwa haipewi..usisubiri mtu akupe furaha inuka kaichukue.
Be Valuable not available to everyone..

Milli Vanilli _ Girl I'm gonna miss you
Vers
Tafuta pesa ndo sabuni ya kuwasafisha mabinti, ukiwa na mkwanja wewe ndo utakuwa unasalimiwa na kutumia SMS za kila aina. Hata mawazo ya kuchwa hautakutana nayo
 
Tafuta pesa ndo sabuni ya kuwasafisha mabinti, ukiwa na mkwanja wewe ndo utakuwa unasalimiwa na kutumia SMS za kila aina. Hata mawazo ya kuchwa hautakutana nayo
It makes sense nimeona. .
 
Tuna shida tunaopendaga wazmawazima yaan unateseka unahisi kufa...siwezi kupenda juujuu eti ukiniacha au ukianza visa nisiteseke, nikikupenda napenda mbka kasoro zako.
 
Tuna shida tunaopendaga wazmawazima yaan unateseka unahisi kufa...siwezi kupenda juujuu eti ukiniacha au ukianza visa nisiteseke, nikikupenda napenda mbka kasoro zako.
Natamani umpende mwanzisha mada hii mkuu
 
Back
Top Bottom