Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba tuliwazane mkuu..maana hali si haliEasier said than done. Huyu fala kaamua atumie GBwhatsapp naona msg hazifiki wakati kwenye groups anachat naona. Wewe ***** jua yana mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta pesa ndo sabuni ya kuwasafisha mabinti, ukiwa na mkwanja wewe ndo utakuwa unasalimiwa na kutumia SMS za kila aina. Hata mawazo ya kuchwa hautakutana nayoInakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda hafu yeye hana mpango nawewe..
Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore.
Ukiwa peke yako unakua unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio hana habari (He/she don't give a damn shit)
Unampenda sana unamuonyesha upendo wa kweli ila ha-Appreciate lolote ulifanyalo..unabaki kulia tu usiku wa manane unawaza hadi kujiua au kujiona mtu usie na maana maishani wakati YOU WORTHY MORE THAN BILLIONS BEFORE GOD.
Kwanini uvumilie yote hayo mateso kama vile huyo abayekutesa ndio binaadamu pekee alibaki ulimwenguni..Wewe unakonda mwenzio anatoka shavu dodo.
Penda unapopendwa, penda pale unapoona unapata mrejesho wenye thamani ya upendo unaotoa. Wapo wengi wanatamani wakupe upendo wa dhati ila uneqafumbia macho na kung'angani mtu mmoja asiyejua thamani yako na thamani ya upendo wako..
Usilazimishe kupendwa,
Usilazimishe mawasiliano
Usilazimishe urafiki
Usilazimishe kupenda
Fura inachukuliwa haipewi..usisubiri mtu akupe furaha inuka kaichukue.
Be Valuable not available to everyone..
Milli Vanilli _ Girl I'm gonna miss you
Vers
Simple..vigezp na mashart kuzingatiwaNatamani umpende mwanzisha mada hii mkuu
Unaweza kutulia na mtu mmoja? love isiyo na mipaka ndo nlioizoea sim si kitu personal kwa manzi ako n.kVigezo vipi hivo.?
KaribuA man can surely follow those instructions..
Kwani ni ngumu kudumi na mtu mmoja?
Naweza mkuu
Duuuh pole ungekua serious ungeelewa wapiWapi mkuu?