Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Mwanzoni nlikua napenda mpaka nahisi nimelogwa nlikua najua kung'ang'ania mtu dah lakn saivi nampenda anaenipenda nafeel proud nimekua na nimejifunza
Hongera kwa kujitambua umizwa mara moja baada ya hapo jitambue

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Love is fate mate that's all I can tell...
You mat try to get on your nerves but still your fate will keep and drag you where you belong.
So you think solution ni kusit back nakuacha fate ikuamulie
 
Sijui tofauti ya fate na destiny
Destiny is something that you can make to be worse or good. But Fate is something worse/good ambayo huwezi badiri..mara nyingi fate hua ni worse.
-Yuda Iscariot ni moja ya mfano wa fate
 
Destiny is something that you can make to be worse or good. But Fate is something worse/good ambayo huwezi badiri..mara nyingi fate hua ni worse.
-Yuda Iscariot ni moja ya mfano wa fate
Ooh sawa sasa Kama your fate ni worse it means hautakua happy kwenye relationship
 
Nimesha subscribe ngoja nipitie nyuz zngne huku ntaja sio muda ,yanayonikuta kwa mtoto wa kichagaaaa
Nimerudi sasa niwape ka kisa kadogo kwa ufupi yaliyojiri, miezi kadhaa nlikuwa na mtihani wa programming chuo Fulani katikati ya nchi ,

Wakati naingia kwenye hall ya mtihani ,nikabahatika kukaaa nyumaa .... Mbele yangu alikuwa amekaa mdada aliesuka Nywele za gharama na anaonekana ni wa kishua kabisaa, basi nikamshika bega nikamuambia "ntaangalizia kwako" akacheka akasema sawa ,ile wakati anageuka sasa ndonikaona kuwa alikuwa binti mkali mlaini soft mwenye tabasamu mwanana na kwa kuwa nliingia hall kwa mlango wa nyuma hivo Mara ya kwanza sikumuona sura lakini hapo ndonikamuona alivo kisu .

Paper limekuja likawa ni multiple choices tu so nikajaza chap ,likaja karatasi ya kusaini nikacheki mtiririko wa majina nkaja gunduaa ni mchaga mmojaa.

Nikanote jina nikasain na kwa kuwa mie ndo nlikuwa MTU wa mwisho nikabaki na ile sheet ya kusaini hadi navoenda kusanya ile paper nikaenda kurudisha kwa mwalimu.

Msako wa kujua anasoma kozi gani ukaanza chapu na kutafuta namba yake ,basi kuna jamaa yangu akanisaidia kucheki kwa course zote zinazosoma programming at the end tukaipata kwa Dada mmoja lakini naye akaanza kudoubt kwamba tunaitaka ya nini mwisho we akamgey jamaa then jamaa kanipigiaaa pasi ndevuu nicheze na nyavu.


Nikamtext yule Dada kwa WhatsApp akaja nijibu kesho yake,hakuwa online kwa siku hiyo nzima ,nikamuambia a to z na lengo langu ..... Akaanza ni avoid sasaaa hapo ndo mchezo ukaanzaaa.

Kuna siku Niko na jamaa yangu mwingine katika kujiongelesha kumbe huyo Dada nae ashawahi mtokea ,na ile story yangu akawa anaiskiliza huku ananichora akaja nipanga huyo unaemsemea ni Fulani akataja na sifa zake na kumbe ni kweli ni yeye, jamaa akanambia huyo dogo haeleweki mnaweza mkaongeaa vzuri Leo kesho akija mnaanza alifu tena.

Basi akanitiaa moyoo, pambana ,.....siku moja tumetoka class mie huyo jamaa na cozi zingine nyingi kwakuwa hilo somo tunashare watu wengi,basi akasema jamaa yangu ngoja nikuitie huyu Dada mmalizane maana kama SMS hajibu hapa ndopenyewe .

Sikutaka iwe hivo kwa kuwa yule Dada angetushtukia kuwa tunapasiana ,ye kamchomoa jamaa na jamaaa kanipasia na mie nijaribu ,kitu ambacho mie cikukipenda lakin ckutaka kumuangusha jamaaa ,basi pindi limeisha ndotunasepa sepa mie namvizia yule Dada Mara paaap cjui kapitia mlango gani nakuta yuko mbele yetu ,jamaa yangu kasema nimuungiee ,ckutaka nionekane mnyonge nikaendaa, nikamuita Xxxx akashtuka ,nikampa hi akaitikia lkn kam MTU Fulani anaye shangaa ,nikamwambia usiogope ,nikatoa simu nikamuonesha chatting zetu ,nikamuuliza hii namba unaijuaa akasema kama naijuaa ndioo nkasema ndo Mimi naekusumbua ,akacheka ,akasema sawa saiv naenda kula tutaonana badaeee,tukaagana.

Bahati mbaya nimeenda kula sehem ambayo nayee kaenda kula ,akaniona na yule jamaa ambaye nae alimtongoza kitu ambacho mie ckutaka ajue kuwa tuna urafiki nayee,basi hapo nikaanza kuona naelekea kuharibu basi.

Maisha yakaenda test Nazo zmepamba ,nikawa nikimtafuta hajibu text ,nkaaamua nishirikishe room mates wangu basi tukaandika scripts pale,....... Mmojawao akanambia usimkurupukiee we nenda nae taratibu ,labda hataki kuonekana wa Maji mara1, basiii siku ikapita.

Nikawa namtafuta Mara moja moja tunachat tuna textiana lakin ni hadi nimuanze,......... Nkaja kumbushia jambo langu ...akazugazuga weeee akanambia sijui nini am sorry kwa hilo ,..

Till now sijamtafuta ,hajanitafuta japo kuna muda natamani Fanya hivoo ila nahic nalazmisha sana mambo alafu ye hayuko interested nami. Basi nikawa namuona tu class akiwa disc na last time nimeonana nae juzi kwenye UE ya programming nika assume sijawahi ijua ile sura.

Samahani kwa story ndeeeefu ,japo kuna vitu sijaandika humu.
 
Nimerudi sasa niwape ka kisa kadogo kwa ufupi yaliyojiri, miezi kadhaa nlikuwa na mtihani wa programming chuo Fulani katikati ya nchi ,

Wakati naingia kwenye hall ya mtihani ,nikabahatika kukaaa nyumaa .... Mbele yangu alikuwa amekaa mdada aliesuka Nywele za gharama na anaonekana ni wa kishua kabisaa, basi nikamshika bega nikamuambia "ntaangalizia kwako" akacheka akasema sawa ,ile wakati anageuka sasa ndonikaona kuwa alikuwa binti mkali mlaini soft mwenye tabasamu mwanana na kwa kuwa nliingia hall kwa mlango wa nyuma hivo Mara ya kwanza sikumuona sura lakini hapo ndonikamuona alivo kisu .

Paper limekuja likawa ni multiple choices tu so nikajaza chap ,likaja karatasi ya kusaini nikacheki mtiririko wa majina nkaja gunduaa ni mchaga mmojaa.

Nikanote jina nikasain na kwa kuwa mie ndo nlikuwa MTU wa mwisho nikabaki na ile sheet ya kusaini hadi navoenda kusanya ile paper nikaenda kurudisha kwa mwalimu.

Msako wa kujua anasoma kozi gani ukaanza chapu na kutafuta namba yake ,basi kuna jamaa yangu akanisaidia kucheki kwa course zote zinazosoma programming at the end tukaipata kwa Dada mmoja lakini naye akaanza kudoubt kwamba tunaitaka ya nini mwisho we akamgey jamaa then jamaa kanipigiaaa pasi ndevuu nicheze na nyavu.


Nikamtext yule Dada kwa WhatsApp akaja nijibu kesho yake,hakuwa online kwa siku hiyo nzima ,nikamuambia a to z na lengo langu ..... Akaanza ni avoid sasaaa hapo ndo mchezo ukaanzaaa.

Kuna siku Niko na jamaa yangu mwingine katika kujiongelesha kumbe huyo Dada nae ashawahi mtokea ,na ile story yangu akawa anaiskiliza huku ananichora akaja nipanga huyo unaemsemea ni Fulani akataja na sifa zake na kumbe ni kweli ni yeye, jamaa akanambia huyo dogo haeleweki mnaweza mkaongeaa vzuri Leo kesho akija mnaanza alifu tena.

Basi akanitiaa moyoo, pambana ,.....siku moja tumetoka class mie huyo jamaa na cozi zingine nyingi kwakuwa hilo somo tunashare watu wengi,basi akasema jamaa yangu ngoja nikuitie huyu Dada mmalizane maana kama SMS hajibu hapa ndopenyewe .

Sikutaka iwe hivo kwa kuwa yule Dada angetushtukia kuwa tunapasiana ,ye kamchomoa jamaa na jamaaa kanipasia na mie nijaribu ,kitu ambacho mie cikukipenda lakin ckutaka kumuangusha jamaaa ,basi pindi limeisha ndotunasepa sepa mie namvizia yule Dada Mara paaap cjui kapitia mlango gani nakuta yuko mbele yetu ,jamaa yangu kasema nimuungiee ,ckutaka nionekane mnyonge nikaendaa, nikamuita Xxxx akashtuka ,nikampa hi akaitikia lkn kam MTU Fulani anaye shangaa ,nikamwambia usiogope ,nikatoa simu nikamuonesha chatting zetu ,nikamuuliza hii namba unaijuaa akasema kama naijuaa ndioo nkasema ndo Mimi naekusumbua ,akacheka ,akasema sawa saiv naenda kula tutaonana badaeee,tukaagana.

Bahati mbaya nimeenda kula sehem ambayo nayee kaenda kula ,akaniona na yule jamaa ambaye nae alimtongoza kitu ambacho mie ckutaka ajue kuwa tuna urafiki nayee,basi hapo nikaanza kuona naelekea kuharibu basi.

Maisha yakaenda test Nazo zmepamba ,nikawa nikimtafuta hajibu text ,nkaaamua nishirikishe room mates wangu basi tukaandika scripts pale,....... Mmojawao akanambia usimkurupukiee we nenda nae taratibu ,labda hataki kuonekana wa Maji mara1, basiii siku ikapita.

Nikawa namtafuta Mara moja moja tunachat tuna textiana lakin ni hadi nimuanze,......... Nkaja kumbushia jambo langu ...akazugazuga weeee akanambia sijui nini am sorry kwa hilo ,..

Till now sijamtafuta ,hajanitafuta japo kuna muda natamani Fanya hivoo ila nahic nalazmisha sana mambo alafu ye hayuko interested nami. Basi nikawa namuona tu class akiwa disc na last time nimeonana nae juzi kwenye UE ya programming nika assume sijawahi ijua ile sura.

Samahani kwa story ndeeeefu ,japo kuna vitu sijaandika humu.
Ungeendelea kukaza mkuu hakuna mafanikio yanayokuja kirahisi
 
Ungeendelea kukaza mkuu hakuna mafanikio yanayokuja kirahisi
Ni kweli ndugu sasa huwa nafikiria naweza nkasema nikaze afu nikaambuliaa patupuu though inaweza ikawa ananitest uvumilivu wangu ukojeeee.... Na in short dogo ni mkali yani kama unavojua Toto za kichaga ana kababy face Fulani hivi ,sema Yale maeneo mengine hakuna sana ila mie sio Mdau sana wa chura, akili nyingine inaniambia nikomae hadi mwisho nione inakuwajee though suala LA kumtext kwa sasa nastop kwanza sabab sipendi kuwa blue ticked kwangu ni bonge ya dharau

Yeye weakness yake ukimface ana kwa ana anakuwa mdogo na hawi comfortable so nasubiri chuo kifunguee nijarbu mface moja kwa moja

Au unasemaje ndugu
 
Asikwambie mtu mkuu mapenzi yana power Sana, nilikua nasikia tuu kwamba fulani Kawa chizi kisa mapenzi lakini me mwenyewe nilijionea na nisema tuu hakuna kitu kinauma kama mapenzi chanzo ni wivu, wivu mbaya sana.
Wala sijawahi kuamini km mapenzi yana nguvu kiasi hicho mnacho kizungumzia, huwa mnayaendekeza sana. Poleeeeeh
 
Back
Top Bottom