Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Hapana. Moyo unahuasika kwa 100% katika kupenda.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Paleomammalian Cortex (Limbic System) hii ndio sehemu ya ubongo inayohusika nma kupenda mtu, unapomuona mtu yoyote unayempenda hii sehemu ya ubongo inatoa chemicals mbazo zinapelekea moyo kwenda kasi, halafu unasikia moyo unampenda sana huyo mtu lakini ukweli huo upendo upo kwenye ubongo. Hizo hisia unazisikia kwenye moyo sababu kuna Nerve mbalimbali ndani ya moyo ambazo huhisi maumivu ua hali yoyote kutokana na jinsi ubongo ulivyoamua moyo uhisi…

Emotions zinakaa ndani ya Akili (Mind, kumbuka mind ipo ndani ya Ubongo) hivyo basi kupitia Limbic system Love
Emotions hutafsiriwa na kutolewa huko kwenye Moyo kama output Device.
 
Wahenga walisema mapenzi yanatia upofu.
Si kwamba mtu hataki kuona kwingine ila kwa wakati huo macho yametiwa upofu na moyo umegubikwa na shahuku ya mtu mmoja aliyepita maishani.

Kupenda na kusahau na kuanza upya kupenda tena sio kazi rahisi na sio kila mtu anaweza. Ni wachache sana wanaweza hii kitu na ni watu imara sana kiakili na kiroho pia, ila bado utaona impact yake pale anapopitia hayo, utamkuta anaconcentrate sana kwenye kitu fulani kisichohusu mapenzi ili kuweka akili sawa. Tunawaita strong people na ni wachache sana.

Kuna watu wana hisia kali sana na wakipenda wamependa, wanafia hapo, wanaoza hapo na wananuka hapohapo. Mioyo yao inakua haijui kingine na wakati mwingine aliyependwa akiwa mtu mwenye makusudi, tendo lake moja laweza kusababisha mwenza kusitisha maisha. Hii ndio inasababisha yale uliyowahi kusikia kuwa amejinyonga kisa mapenzi.

Ukiona mtu kapenda leo kaacha au kaachwa halafu ndani ya wiki moja kapenda mwingine huyo hajapenda kule kunakoitwa kupenda, kutakua na kitu fulani tu alikipenda.

Wanaojua kupenda, hasa wakina dada, wanaelewa ninachomaanisha. Wanaume wachache wako hivi na wakisalitiwa hali huwa ni tete kwa mtu mwenyewe na wengine inaathiri hata maisha yao ya kimapenzi baadae.

Haya mapenzi haya, yaache tu kama yalivyo, kila mtu ana staili yake na namna yake.
Mkuu umeelezea vizuri sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda hafu yeye hana mpango nawewe..
Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore.

Ukiwa peke yako unakua unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio hana habari (He/she don't give a damn shit)

Unampenda sana unamuonyesha upendo wa kweli ila ha-Appreciate lolote ulifanyalo..unabaki kulia tu usiku wa manane unawaza hadi kujiua au kujiona mtu usie na maana maishani wakati YOU WORTHY MORE THAN BILLIONS BEFORE GOD.

Kwanini uvumilie yote hayo mateso kama vile huyo abayekutesa ndio binaadamu pekee alibaki ulimwenguni..Wewe unakonda mwenzio anatoka shavu dodo.

Penda unapopendwa, penda pale unapoona unapata mrejesho wenye thamani ya upendo unaotoa. Wapo wengi wanatamani wakupe upendo wa dhati ila uneqafumbia macho na kung'angani mtu mmoja asiyejua thamani yako na thamani ya upendo wako.

Usilazimishe kupendwa,
Usilazimishe mawasiliano
Usilazimishe urafiki
Usilazimishe kupenda
Fura inachukuliwa haipewi..usisubiri mtu akupe furaha inuka kaichukue.
Be Valuable not available to everyone.

Milli Vanilli _ Girl I'm gonna miss you
Vers
Safi Sanaa aisee. Now kuna baada ya kusoma uzi wako umenipa moyo jinsi ya kufanya mahamuzi kama mwanaume nimejisahau Sanaa kwa uyu demu
 
There's no such thing as a true love. Nobody really loves you

“Nobody really loves you” Ndio ulikofikia huku [emoji28]

Kuna somewhere mtu anakupenda ila swali will you lover her back

Mm nshapunguzaga expectations itafika some point ntasema kwamba i just don’t wanna die alone ntachagua with my head basi
 
Back
Top Bottom