figureoutable
Member
- Aug 4, 2021
- 30
- 55
Kumpata ni shida sana. Sijui wenzangu hufanyaje,
Attract her subconsciously [emoji849]
Attract her subconsciously [emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimpende jirani kuliko nafsi yako. Mpende kama nafsi yako.Sidhani Kama mleta mada amewahi kupenda . Mapenzi yana nguvu sana
Hata mi nashangaa. Acha kupenda penda usipopendwa.Kadri unavyopenda ndio unavyozidi kua dhaifu na mjinga. Then why people bother to do so??🤷
Sawa, acha kupenda.Hiyo phrase huwa ni uongo coz nobody think about you, nobody feel sorry for you... Nobody love you.
Uko sahihi sana mkuu. Ila hili suala la KUPENDA, liacheni tu kama lilivyo, halitabiriki kabisa, unaweza kujiona wewe ni baunsa wa hili jambo ila bado hujabahatika kukutana nalo.Ili ufikie hiyo stage ni lazima uwe umepitia heart breaks kadhaa.
Hapana. Moyo unahuasika kwa 100% katika kupenda.Moyo hauhusiani kabisa na swala la kupenda dada
Kheee hayaaaMimi mwenyewe sijipendi wala kujali chochote kuhusu mimi, nitawezaje kupenda wengine??😞
Paleomammalian Cortex (Limbic System) hii ndio sehemu ya ubongo inayohusika nma kupenda mtu, unapomuona mtu yoyote unayempenda hii sehemu ya ubongo inatoa chemicals mbazo zinapelekea moyo kwenda kasi, halafu unasikia moyo unampenda sana huyo mtu lakini ukweli huo upendo upo kwenye ubongo. Hizo hisia unazisikia kwenye moyo sababu kuna Nerve mbalimbali ndani ya moyo ambazo huhisi maumivu ua hali yoyote kutokana na jinsi ubongo ulivyoamua moyo uhisi…
Mkuu umeelezea vizuri sana.Wahenga walisema mapenzi yanatia upofu.
Si kwamba mtu hataki kuona kwingine ila kwa wakati huo macho yametiwa upofu na moyo umegubikwa na shahuku ya mtu mmoja aliyepita maishani.
Kupenda na kusahau na kuanza upya kupenda tena sio kazi rahisi na sio kila mtu anaweza. Ni wachache sana wanaweza hii kitu na ni watu imara sana kiakili na kiroho pia, ila bado utaona impact yake pale anapopitia hayo, utamkuta anaconcentrate sana kwenye kitu fulani kisichohusu mapenzi ili kuweka akili sawa. Tunawaita strong people na ni wachache sana.
Kuna watu wana hisia kali sana na wakipenda wamependa, wanafia hapo, wanaoza hapo na wananuka hapohapo. Mioyo yao inakua haijui kingine na wakati mwingine aliyependwa akiwa mtu mwenye makusudi, tendo lake moja laweza kusababisha mwenza kusitisha maisha. Hii ndio inasababisha yale uliyowahi kusikia kuwa amejinyonga kisa mapenzi.
Ukiona mtu kapenda leo kaacha au kaachwa halafu ndani ya wiki moja kapenda mwingine huyo hajapenda kule kunakoitwa kupenda, kutakua na kitu fulani tu alikipenda.
Wanaojua kupenda, hasa wakina dada, wanaelewa ninachomaanisha. Wanaume wachache wako hivi na wakisalitiwa hali huwa ni tete kwa mtu mwenyewe na wengine inaathiri hata maisha yao ya kimapenzi baadae.
Haya mapenzi haya, yaache tu kama yalivyo, kila mtu ana staili yake na namna yake.
Safi Sanaa aisee. Now kuna baada ya kusoma uzi wako umenipa moyo jinsi ya kufanya mahamuzi kama mwanaume nimejisahau Sanaa kwa uyu demuInakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda hafu yeye hana mpango nawewe..
Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore.
Ukiwa peke yako unakua unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio hana habari (He/she don't give a damn shit)
Unampenda sana unamuonyesha upendo wa kweli ila ha-Appreciate lolote ulifanyalo..unabaki kulia tu usiku wa manane unawaza hadi kujiua au kujiona mtu usie na maana maishani wakati YOU WORTHY MORE THAN BILLIONS BEFORE GOD.
Kwanini uvumilie yote hayo mateso kama vile huyo abayekutesa ndio binaadamu pekee alibaki ulimwenguni..Wewe unakonda mwenzio anatoka shavu dodo.
Penda unapopendwa, penda pale unapoona unapata mrejesho wenye thamani ya upendo unaotoa. Wapo wengi wanatamani wakupe upendo wa dhati ila uneqafumbia macho na kung'angani mtu mmoja asiyejua thamani yako na thamani ya upendo wako.
Usilazimishe kupendwa,
Usilazimishe mawasiliano
Usilazimishe urafiki
Usilazimishe kupenda
Fura inachukuliwa haipewi..usisubiri mtu akupe furaha inuka kaichukue.
Be Valuable not available to everyone.
Milli Vanilli _ Girl I'm gonna miss you
Vers
Njia sahii ni ipi hapo ili niweze kujizuia naomba msaada wakoNi upopoma tu.
Hutakiwi kuruhusu chochote kikuendeshe. Ukiona huli hulali kisa mtu mwingine akupuuzaye umeruhusu kutawaliwa.
There's no such thing as a true love. Nobody really loves you
Ahaha wanaopendana inakuwa nini mkuu ?There's no such thing as a true love. Nobody really loves you