Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Ahaha wanaopendana inakuwa nini mkuu ?

Funguka kidogo ndugu
LOVE IS FATE, sio kila mtu yupo endowed with love. Wapo wachache tu ndio wenye bahati hiyo ila wengi hawayapati mapenzi hayo ambayo ni muhimu kwa maisha yao. Watu wamebarikiwa uzuri wa sura na umbo, roho safi na LOYALTY ya kiwango cha hali ya juu lakini hawapati mapenzi/upendo kama wanavyotakiwa kupata, pengine hawapati kabisa. Hapo sasa ndio mtu anaanza kujiuliza shida nini wakati kila kitu anacho ila upendo wa kweli hapati. Its sjust a simple spell, love is fate.

Kama fate yako sio kupata mapenzi huwezi pata mapenzi hata ufanyaje utaishia kuroga na kuhonga sana ila utaishia kuyakosa. Ive just realize that some people are born to get all the love in the world and the rest of us we get nothing!! Je hii ndio fate yao? Kwamba tuwe wasindikizaji?why don’t we worth it? How to worth it?

Look! Watu wapo wengi wamejaliwa upendo wa kweli na uaminifu mkubwa but hawapati mapenzi yale yanayolingana na thamani ya penzi walilonalo..maisha yao yote wanaishia kulia na kuteswa na mapenzi..maisha ni kitu cha ajabu vitu vizuri vizuri hua wanapata wale wasiostahili kuvipata maana hawajaui thamani ya vitu hvyo ila wale wanaostahili kupata vitu vizuri kama wao wanaojua kuthamini vitu vizuri hawavipati. Wanabaki katika dimbwi la upweke na majonzi kwa kupata yale wasiyo stahili pengine hawapati kabisa.

Ndugu tambau kwamba upendo ni kitu muhimu sana kwa mwanadamu lakini pia jua love I fate sio kila mmoja anaweza kupata upendo ule anaohitaji ama naufikiria kuupata maana hata ukiuupata bado fte itakuwinda na kukunyanganya furaha ya penzi lako. Kama uko fated to be solo and sorrow for the life time jaribu kukubali hiyo hali kwamba ndio hali yako halisi japo inauma. Just stop to be emotional overthings you can’t control, it’s your time to be happy coz everyone deserve happiness.

 
LOVE IS FATE, sio kila mtu yupo endowed with love. Wapo wachache tu ndio wenye bahati hiyo ila wengi hawayapati mapenzi hayo ambayo ni muhimu kwa maisha yao. Watu wamebarikiwa uzuri wa sura na umbo, roho safi na LOYALTY ya kiwango cha


Umeniponya haswa leo [emoji1545]
 
I just feel kama love is not my fate maana najikuta huwa napenda sana and give my all ila sipatagi love in return [emoji20]
Pole mno asee ndio maisha yalivyo unachotaka hupati unachopata hutaki. I wish ningekua mimi hapo niyapokee hayo maupendo. Basi tu I guide other to the Treasure I can't possess
 
LOVE IS FATE, sio kila mtu yupo endowed with love. Wapo wachache tu ndio wenye bahati hiyo ila wengi hawayapati mapenzi hayo ambayo ni muhimu kwa maisha yao. Watu wamebarikiwa uzuri wa sura na umbo, roho safi na LOYALTY ya

Asante.umenigusa,haya maneno yako yananikazia tu ujasiri!Love is not my fate na bahati nzuri nishajitambua hilo so hayanisumbui hata dakika moja,yaani Nina Furaha bila kutegemea uwepo wa binadamu aliyezaliwa na mwanamke Kama Mimi.....Siwezi kukaa naumia kisa mtu na Furaha zake,yeye afurahi mimi nikonde!hapana......Moyo wangu nilishauambia Ukisikia kipenga pyeee Basi !achana na hiyo part time job endelea kazi yako ya asili "sukuma damu"
 
Asante.umenigusa,haya maneno yako yananikazia tu ujasiri!Love is not my fate na bahati nzuri nishajitambua hilo so hayanisumbui hata dakika moja,yaani Nina Furaha bila kutegemea uwepo wa binadamu aliyezaliwa na mwanamke Kama Mimi.....Siwezi kukaa naumia kisa mtu na Furaha zake,yeye afurahi mimi nikonde!hapana......Moyo wangu nilishauambia Ukisikia kipenga pyeee Basi !achana na hiyo part time job endelea kazi yako ya asili "sukuma damu"
Joanna all you need is someone to ring and bashing you well like a bell🏃🏃
Muda ukifika utapata mtu atakaekuoenda with all of you...
Siku zote hua kuna point of no return, umempenda mtu husikii wala huoni hapo habari za fate wala nini hutakumbuka, utabaki kuvumilia kushikilia senyenge maana ndiko ilipofungwa furaha yako, japo unaumia lakini huwezi kuachia maumivu hayo ambayo yanautamu ndani yake.

Je nini kilikukuta?
 
LOVE IS FATE, sio kila mtu yupo endowed with love. Wapo wachache tu ndio wenye bahati hiyo ila wengi hawayapati mapenzi hayo ambayo ni muhimu kwa maisha yao. Watu wamebarikiwa uzuri wa sura na umbo, roho safi na LOYALTY ya kiwango cha hali ya juu lakini hawapati mapenzi/upendo kama wanavyotakiwa kupata, pengine hawapati kabisa. Hapo sasa ndio mtu anaanza kujiuliza shida nini wakati kila kitu anacho ila upendo wa kweli hapati. Its sjust a simple spell, love is fate. Kama fate yako sio kupata mapenzi huwezi pata mapenzi hata ufanyaje utaishia kuroga na kuhonga sana ila utaishia kuyakosa. Ive just realize that some people are born to get all the love in the world and the rest of us we get nothing!! Je hii ndio fate yao? Kwamba tuwe wasindikizaji?why don’t we worth it? How to worth it?

Look! Watu wapo wengi wamejaliwa upendo wa kweli na uaminifu mkubwa but hawapati mapenzi yale yanayolingana na thamani ya penzi walilonalo..maisha yao yote wanaishia kulia na kuteswa na mapenzi..maisha ni kitu cha ajabu vitu vizuri vizuri hua wanapata wale wasiostahili kuvipata maana hawajaui thamani ya vitu hvyo ila wale wanaostahili kupata vitu vizuri kama wao wanaojua kuthamini vitu vizuri hawavipati. Wanabaki katika dimbwi la upweke na majonzi kwa kupata yale wasiyo stahili pengine hawapati kabisa.

Ndugu tambau kwamba upendo ni kitu muhimu sana kwa mwanadamu lakini pia jua love I fate sio kila mmoja anaweza kupata upendo ule anaohitaji ama naufikiria kuupata maana hata ukiuupata bado fte itakuwinda na kukunyanganya furaha ya penzi lako. Kama uko fated to be solo and sorrow for the life time jaribu kukubali hiyo hali kwamba ndio hali yako halisi japo inauma. Just stop to be emotional overthings you can’t control, it’s your time to be happy coz everyone deserve happiness.

Sahihi kabisa
 
LOVE IS FATE, sio kila mtu yupo endowed with love. Wapo wachache tu ndio wenye bahati hiyo ila wengi hawayapati mapenzi hayo ambayo ni muhimu kwa maisha yao. Watu wamebarikiwa uzuri wa sura na umbo, roho safi na LOYALTY ya kiwango cha hali ya juu lakini hawapati mapenzi/upendo kama wanavyotakiwa kupata, pengine hawapati kabisa. Hapo sasa ndio mtu anaanza kujiuliza shida nini wakati kila kitu anacho ila upendo wa kweli hapati. Its sjust a simple spell, love is fate. Kama fate yako sio kupata mapenzi huwezi pata mapenzi hata ufanyaje utaishia kuroga na kuhonga sana ila utaishia kuyakosa. Ive just realize that some people are born to get all the love in the world and the rest of us we get nothing!! Je hii ndio fate yao? Kwamba tuwe wasindikizaji?why don’t we worth it? How to worth it?

Look! Watu wapo wengi wamejaliwa upendo wa kweli na uaminifu mkubwa but hawapati mapenzi yale yanayolingana na thamani ya penzi walilonalo..maisha yao yote wanaishia kulia na kuteswa na mapenzi..maisha ni kitu cha ajabu vitu vizuri vizuri hua wanapata wale wasiostahili kuvipata maana hawajaui thamani ya vitu hvyo ila wale wanaostahili kupata vitu vizuri kama wao wanaojua kuthamini vitu vizuri hawavipati. Wanabaki katika dimbwi la upweke na majonzi kwa kupata yale wasiyo stahili pengine hawapati kabisa.

Ndugu tambau kwamba upendo ni kitu muhimu sana kwa mwanadamu lakini pia jua love I fate sio kila mmoja anaweza kupata upendo ule anaohitaji ama naufikiria kuupata maana hata ukiuupata bado fte itakuwinda na kukunyanganya furaha ya penzi lako. Kama uko fated to be solo and sorrow for the life time jaribu kukubali hiyo hali kwamba ndio hali yako halisi japo inauma. Just stop to be emotional overthings you can’t control, it’s your time to be happy coz everyone deserve happiness.


Ameeen[emoji120]
 
Moyo hauhusiani kabisa na swala la kupenda dada
Nilishawahi kumpenda mtu mpaka nilijuta akili inaniambia sipendi ila moyo unaniambia tulia tu endelea kupambana kiukweli siwacheki wanaoteseka maana nimepitia hiyo hatua ila kiukweli moyo ni tatizo najua kuna watu wanasema siwez just mshukuru Mungu sana kama hujapitia hiyo hali lakini usijifariji as long as bado upo hai siku moja utakutana na chuma cha reli kitakufanya uimbe a,e,i,o,u UKIONA mapenzi yanaua usione wanao jiua ni wajinga hapana ni kwamba kudhibiti hisia sio jambo rahisi sana kama wengine wanayodhani
 
Silazimishi kupenda..

Silazimishi Mawasiliano..

Silazimishi chochote..

Ila yote hayo hutokea Automaticaly without my intention

Penye upendo/mapenzi huwezi ona kama unalazimisha,ila yote utayafanya bila kujitambua na kugundua kitu,ila ukijiona umegundua kuwa "una lazimisha" Fahamu "hujampenda".

Kuna wale utawasikia oooh mimi ukinikataa sikubembelezi,ooh mimi nikuone hueleweki naachana nawewe,nk nk,Hizo kauli hutoka kwenye mioyo isiyo na UPENDO/MAPENZI ya dhati ndani yake.

Nikwambie kitu,

Nilimpenda mdada m1 hivi huko nyuma,yule dada nilimpenda kweli sina chembe ya maigizo ndani yangu ila bahati mbaya yule dada alikua hanipendi na alikua hanipendi kweli KWA HERUFI KUBWA ila sikujali wala kuona kama sipendwi.

Usiku nilimtumia msg za usiku mwema zisizo jibiwa,asubuhi nilimpgia simu japo hakuwahi pokea ila nlituma msg,mchana nlituma msg kuuliza anaendeleaje.

Nikienda mahali nikaona gauni,kiatu kizuri chakike nitamnunulia na kumtuma mtu ampelekee,japo zawadi zangu 81% amekua akizitupa mbele ya macho yangu chini kabisa,namm nilikua siokoti akitupa "shauri ake"

Hamna ambacho sikumfanyia yule dada,valentine day nilikua nampa nanunua zawadi za maaana naenda tegesha pale mlangoni kwao akiamka anakutana nazo,nk nk nk

Muda wote huo nilifanya na nilijiskia amani na bado upendo juu yake haukupungua,Siku moja Bila kutegemea usiku ikaingia msg "Good night CONTROLA " kuangalia alietuma nikakuta ni yeye asee nikaamua kupga pale pale maana nilihisi kama muujiza,tuliongea usiku mzima just stories.

Asubuhi nikaamka na furaha sana maisha yakaendelea,yule dada akawa mpenzi wangu hapo n baada ya miaka miwili kama na nusu hivi,Nilimpenda sana tukapendana sana.

Siku 1 nipo kanisani nimepigwa neno likaniingia mpk kwenye damu Nikaamua "kuokoka",ikanibidi niachane na mambo ya dunia nimtumikie Mungu sasa,nikamuita yule dada akaja home tukaanza ongea nikamuelezea adhma yangu ya kuachana nae..

Sababu ni kwamba nmeamua kumtumikia Mungu staki tena uasherati,ma ma ma ma ma ile siku ni siku ambayo sitoisahau maana yule dada aliniambia LIVE CONTROLA ukiniacha najiua.

Nilijua anatania basi mimi kimya sikujali,alinililia sana yule dada, alitoa makamasi yote,machozi yote nilim bembeleza lakini wapiii end of the day akaniuliza CONTROLA are you serious? nikamjibu ndio! akaniambia sawa Tutakutana Mungu akipenda,akaniomba anikumbatie nikamsogelea akanikumbatia akalia sana sana kisha akachoropoka akatoka nnje.

Mi nikabaki ndani baada ya dk 5 nkasema nitoke niende zangu dukani,nikashangaaa natoka nakuta pale nnje kuna viatu vyake yule dada ina maana alivyoondoka hakuvaa viatu alitoka peku peku akasepa zake,nikasema nimpgie simu yake ikawa inaita ila haipokelewi.

Basi nikaenda zangu dukani nikarudi nikaoga nikapumzika,nilikuja kuamka baada ya kupigiwa simu niliona ni simu ya yule dada "jina lake lilitokea pale juu" Kupkokea hakua anaongea yule dada ila nilikua napewa taarifa za Mtu aliefariki kwa Kujinyonga na mtu aliekuta mwili ukibembea kwenye lodge juu ya Feni. Yule dada hayupo tena.


Ntaka kusema nini

si kila anaekukataa sasa hivi unatakiwa kumpuuza,wengine akili zao zinakua bado hazipo matured kuona mbali na kutambua wewe da vince ni mume wake mtarajiwa/rafiki wa kweli,nk wakati huo akili yake ipo kitoto toto so unachotakiwa

kufanya usikataliwe na wewe ukaamua kumkataa,kama kweli una uhakika umempenda Usikate tamaa kwa ajili yake "Keep Forcing"" Keep Pushing,siku moja akili yake itakapo funguka atakuelewa and trust me Huyo mwanamke/rafki ulie hangaika kumpata siku atakapokuja kukubali kuwa nawewe Nakuhakikishia "mtazeeka pamoja".

Urafiki/Mahusiano yasiyo na sacrifices kutoka kwa mmoja wenu huwa haudumu nakuhakikishia,yani wewe umemtongoza demu leo baada ya siku 3 kakupa jibu,asee mkidumu mwaka,Sijui ila angalia yale mahusiano ambayo kuna mmoja alikua akilazimisha mwenzake ampende,angalia yale mahusiano ya namna hiyo huwa yakijaga Ku tick kuvunjika hayo mahusiano Lbda ije tsunami toka mbinguni tu ndio itayavunja not otherwise.


Kuna wimbo wa JUX unaitwa "sisikii" huu wimbo mwanamke ndie aliekua aki force apendwe,mwanaume akili zilikua zero haelewi A wala Z mwanamke kamvumilia sana mwanaume ila imefika sku 1 mwanaume aliekua haoni thamni ya yule mwanamke Akili zikamrudia Masikio yakazibuka, anasema kwenye moja ya mistari ya huo wimbo huyo mwanaume sasa

"kuna makosa ulipaswa usinisamehe
"sikufwata ulivyotaka,hukupenda tugombane


hapo juu inaonyesha mwanaume alikua akili ni ZERO maana kama makosa kumfanyia mwenzake ya makusudi kamfanyia sana,nadhani unaelewa makosa mtu akufanyie kosa la makusudi ili akuboe hua inavyouma.

Ila mwanamke hakumuacha aliendelea "kulazimisha" ambapo wewe da vinci ndio hutaki ila mwisho wa siku sasa kilichokuja tokea kwa huyu mwanaume mwenye akili zero,akili zilimrudia na mapenzi akayarudsha kwa mpenzi wake sasa anamuahidi haya maneno hapa chini

"umejitahidi kunipa upendo
''ntakupenda zaidi my love


sasa imagine hapo sasa mwanaume anarudisha upendo 100% anakutana na upendo kwa mwanamke ambao tayri ulikua umezidi 100% wanaungana,Hivi unaweza kuvunja mahusiano ya hawa watu?????

Ukiwaona barabarani wanapendana wana cheza wanaruka ruka kama njiwa,Who will be man of the match?? kwa vyovyote vile man of the match kwenye haya mahusiano ni "mwanamke" alie "force,alie lazimisha" Yes mapenzi yapo hivyo.



Duuu una moyo mgumu yaani hujawaza tu kuwa utapoteza vingi yaani kila siku unamuwaza mtu mmoja tu labda niseme haya maneno yako ni mazuri ila ukiwa maskini unaweza ukafirisika kabisa yaani pesa zote unazotafuta zitaenda kwa mtu asiekupenda nafikir hakikisha unaweka kikomo tongoza ndani ya miezi miwili aeleweki achana nae ili uishi kwa amani sio unatongoza miaka miwili yaani hii peinciple mim nina ikataa utakuwa maskini mapaka ujute halafu wasichana wenyewe kila siku anakupoga vizinga mpaka ujute
 
Umenigusa mimi kabisa no coment jamani hii coment ni ya kweli ukisumbuka sana utafirisika sana maama UNALZIMISHA SANA MAPENZI
 
Nikitongoza sana huwa ni wiki 1 kama haeleweki napiga chini.
Unamhangaikia mwanamke kama unaomba kazi halafu uanze kumpa pesa zako. Yote ya nn hayo.
Nishaonga sana mpk akili ikakawa sana kuwa wanawake hawana shukrani. Kama mwanamke amekupiga mzinga wa 50,000 mpe 10,000 ukiona king'ang'anizi piga chini
Duuu una moyo mgumu yaani hujawaza tu kuwa utapoteza vingi yaani kila siku unamuwaza mtu mmoja tu labda niseme haya maneno yako ni mazuri ila ukiwa maskini unaweza ukafirisika kabisa yaani pesa zote unazotafuta zitaenda kwa mtu asiekupenda nafikir hakikisha unaweka kikomo tongoza ndani ya miezi miwili aeleweki achana nae ili uishi kwa amani sio unatongoza miaka miwili yaani hii peinciple mim nina ikataa utakuwa maskini mapaka ujute halafu wasichana wenyewe kila siku anakupoga vizinga mpaka ujute
 
Back
Top Bottom