Unamzungumziaje mchambuzi Geoff Lea

Unamzungumziaje mchambuzi Geoff Lea

Mchambuzi wangu hapa bongo ni George Ambagile tu, kwanza huwa anajiweka pembeni na hizi siasa za simba na Yanga

Na pili akianza kuzungumza simba na Yanga anaongea as a Coach coz Yupo hatua za awali katika masomo ya ukocha

Hao wengine ni wachumia tumbo tu.
Yes Ambangile yupo poa Namkubali sana

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi twita alinitukana mimi sina akili na sina hela kwa hiyo kuendelea kubishana na mimi ni kupoteza muda...hata leo naona kuna raia mmoja alikuwa anamwambia yeye ana akili zaidi ndio maana ana followers 20k halafu huyo anayebishana naye ana followers 58 tu[emoji205]
Pole mkuu, huyu jamaa nataka kuijua historia yake ni nani hasa?


Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma hiyo comment yuko sahihi 100%

Simba na Yanga zinajaza uwanja wa Mkapa kwenye matukio mawili tu

1. Simba/Yanga Day
2. K/Koo Derby

Sisi mashabiki ndio tatizo hapa, kwanini uwanja hatujazi hata kwa 70% tunapocheza na timu kama Ihefu?
Umeielewa post ya juu ya juu?
Jamaa analikuwa anasema kuwa league ya Tanzania ni mgodi, anahimiza mamlaka kuangalia fursa hiyo.
Jamaa akatokea alikotokea na comment yake ya kusiliba.

Simba na yanga zinajaza uwanja matukio hayo mawili tu?
Vipi mechi za kimataifa?
Vipi wakienda mkoani?


Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Ukiachana na Ambangile mchambuzi mwingine anayekuja juu sana ni Farhan Kihamu Jr

Namuona huyu dogo akimpita hata Ambangile
Issue itakayo cost kwa huyo dogo kupitia akaunti zake za mtandaoni ni kuweka wazi mapenzi yake katika moja ya hizi timu za Kariakoo na ni tofauti kwa Ambagile mpk sasa hajawi weka wazi mapenzi yake yapo wapi na wala huwezi kutambua
 
Hebu mwenye kapicha kake akatundike kuna wajuzi wa kusoma picha za watu tunaweza kujua mengi kuhusu yeye na kwa nini ana behave hivyo
Hizo mkuu nadhani zinatosha
20210921_141329.jpg
20210921_141311.jpg
20210921_141325.jpg


Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza ameandika kama mtoto wa form 2C.

Aidha simfahamu huyu bwana. Miaka ile nilikua namkubali Edo Kumwembe sijui anafanya vp siku hizi.
 
Umeielewa post ya juu ya juu?
Jamaa analikuwa anasema kuwa league ya Tanzania ni mgodi, anahimiza mamlaka kuangalia fursa hiyo.
Jamaa akatokea alikotokea na comment yake ya kusiliba.

Simba na yanga zinajaza uwanja matukio hayo mawili tu?
Vipi mechi za kimataifa?
Vipi wakienda mkoani?


Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi sijawahi kumuona akisema anything positive kuhusu mpira wa Tanzania.

Kuhusu kuzaja uwanja nimesema uwanja wa Mkapa, sio vya mikoani. Mechi za ligi ambazo sio derby uwanja hata nusu huwa haujai.
 
Tuliozoea kukaa mahakamani tunasema hoja yako haina mashiko na jalada linatupiliwa mbali
 
Issue itakayo cost kwa huyo dogo kupitia akaunti zake za mtandaoni ni kuweka wazi mapenzi yake katika moja ya hizi timu za Kariakoo na ni tofauti kwa Ambagile mpk sasa hajawi weka wazi mapenzi yake yapo wapi na wala huwezi kutambua
Una uhakika? Sijawahi kumuona akiashiria kuonesha mapenzi au bias kwa timu yoyote ya K/Koo

Labda unahisi hivyo?
 
Uko sahihi sijawahi kumuona akisema anything positive kuhusu mpira wa Tanzania.

Kuhusu kuzaja uwanja nimesema uwanja wa Mkapa, sio vya mikoani. Mechi za ligi ambazo sio derby uwanja hata nusu huwa haujai.
Msingi wa huyo jamaa aliyepost ilikuwa ni kuonesha kuwa mpira wa Tanzania unapendwa.
Lakini huyu kijana sikuelewa aliona tatizo wapi, mpaka akacomment vile.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Kwani kaongea uongo? , mechi za derby tuu ndo hujaza uwanja, ukienda mechi nyingine washabiki huo wachache kupitiliiizaaaa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Umeielewa post ya juu ya juu?
Jamaa analikuwa anasema kuwa league ya Tanzania ni mgodi, anahimiza mamlaka kuangalia fursa hiyo.
Jamaa akatokea alikotokea na comment yake ya kusiliba.

Simba na yanga zinajaza uwanja matukio hayo mawili tu?
Vipi mechi za kimataifa?
Vipi wakienda mkoani?


Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Ww ndo hujaelewa vizuri asee. Ila Geoff yupo sahihi 100%

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hajasema uongo jeff.

Simba na yanga zinajaza uwanja kwenye derby zao tu. Ama matamasha yao ya kufungua msimu.

Ama mechi kubwa sana ya ligi ya mabingwa africa.

Ila zaidi ya hapo hata nusu uwanja wa taifa haziwezi kujaza
 
Kuna kikundi cha waandishi kimeibuka, na wanapenda watambulike kama wasema kweli. Lakini kila nikitazama niuone huo ukweli siupati naona ni majungu na chuki tu.
Kwa leo tuanze na huyu GEOF LEA.

Huyu kijana sijui ana shida gani, ni mjuaji hakuna mfano.
Bwana Geof lea anaamini kuwa ukosoaji kila kitu ndio kuonesha wewe ni mwerevu na mjuvi wa mambo.

Msimu uliopita alitoa kauli kwamba, haoni simba akifika mahala na beki ile,Mungu si athumani Simba anamaliza makundi amefungwa Goli mbili tu.

Amefikia hatua ya kuanza kusema eti simba na yanga zinatumia Nguvu kubwa kujaza uwanja, na wala sio kwamba mpira unapendwa Tanzania.( hii akizipinga page na wachambuzi wa nje)

Yapo mengi juu ya huyu kijana, naamiini kama na wewe umekutana nayo utasema.
Kama bado hujaona unaweza fuatilia tweet zake.
NB:Hatukatai ukosoaji ila hatutaki Ujuaji.

View attachment 1947012
Huyu kijana abs Tatizo kubwa la grandiose

It’s a mental Illness

He will remain floating in the world of mediocrity Kwa muda sana
 
Back
Top Bottom