Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
- Thread starter
- #21
Yes Ambangile yupo poa Namkubali sanaMchambuzi wangu hapa bongo ni George Ambagile tu, kwanza huwa anajiweka pembeni na hizi siasa za simba na Yanga
Na pili akianza kuzungumza simba na Yanga anaongea as a Coach coz Yupo hatua za awali katika masomo ya ukocha
Hao wengine ni wachumia tumbo tu.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app