Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
- Thread starter
- #81
Ukweli upi hapo, hivi swala kuwa watanzania wanapenda mpira.Watanzania hawapendi ukweli hapo huyo kijana hajakosea
Kama anaongea kingereza na nyie jifunzeni kingereza
Mpira wa tanzania umejaza mashabiki wasiojitambua ndio kaongea ukweli mmepanic
Mtu ikilipinga nao ni ukweli?
Kingereza, Unadhani watu wote hawa wanaompinga hawajui kiingereza?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app