Unamzungumziaje mchambuzi Geoff Lea

Unamzungumziaje mchambuzi Geoff Lea

Post yake ina ukweli lakini ilibidi apige kimya.

Kwani kwa mkapa huwa kunajaa Simba au Yanga wakicheza na Gwambina?

Tutaanza kusema soka limeteka pale ambapo viwanja vitaanza kujaa bila kujali ni mechi gani.
Jibu jepesi 98% ya mashabiki wa soka Tanzania ni aidha simba ama yanga.
 
Mimi nawafatilia sana kwenye tv e , huwa wanabishana sn na oscar, kila mmoja ni mwamba, hakuna uchambuzi pale
 
Hiyo comment yupo sahihi kabisa. Ni kweli Yanga au Simba vs Lipuli uwanja ni mapengo tupu. Sema kuliko kuandika negativity hapo bora angepiga kimya tu.
 
una ushahidi kuwa clouds walimtema? Walioondoka clouds na kuhamia EFM walitemwa? Inawezekana mtu akawa na uwezo mdogo akaajiliwa DSTV kuwa mchambuzi wa soka? Tujifunze kuheshimu talanta za watu, amefika alipo kwasababu ya uwezo.
Hana uwezo ni connection tu za mtaani ndio zimemuweka hapo ila uchambuzi wake ni majanga tu
 
Post yake ina ukweli lakini ilibidi apige kimya.

Kwani kwa mkapa huwa kunajaa Simba au Yanga wakicheza na Gwambina?

Tutaanza kusema soka limeteka pale ambapo viwanja vitaanza kujaa bila kujali ni mechi gani.
Hata Old Trafford huwa haijai mechi zote mkuu.

Kutokujaa kwa mashabiki kunasababishwa na mambo mengi siyo watu kutokuzipenda timu zao hapana.
 
Farhan chenga, anaonyesha kabisa ye ni Simba na hata chambuzi zake zimeegemea upande huo. Sioni akifika mbali.

JamiiForums mobile app
Dg aachane na hizi siasa za simba na Yanga hasa ukiwa mchambuzi na mwisho wa siku atajikuta kwenye kundi la wachambuzi ambao ni Takataka

Dg anajua sana tangu akiwa Ebony FM kule Iringa alikuwa anafanya kazi pale wakati anasoma chuo cha MUCE

Look at Ambangile huwezi jua jamaa ana mapenzi ya timu gani pale Kariakoo, na anazichambua hizi timu technically

Ila kuna hawa jamaa ni Yanga wakubwa kabisa ila ndo kwasababu Yanga hawafanyi vizuri ndo maana kidogo wamerudi nyuma
1.Shaffih dauda
2.Maulid kitenge
3.Oscar Oscar
4.Yusuph mkule
5.Edo kumwembe
6.Alex luambano

Hawa hapa ni simba
1.Ahmed Abdallah
2.Saleh jembe
3.Ahmed Ahmed
4.Jemedar Said
5.Ibarahim Maestro
 
Dg aachane na hizi siasa za simba na Yanga hasa ukiwa mchambuzi na mwisho wa siku atajikuta kwenye kundi la wachambuzi ambao ni Takataka

Dg anajua sana tangu akiwa Ebony FM kule Iringa alikuwa anafanya kazi pale wakati anasoma chuo cha MUCE

Look at Ambangile huwezi jua jamaa ana mapenzi ya timu gani pale Kariakoo, na anazichambua hizi timu technically

Ila kuna hawa jamaa ni Yanga wakubwa kabisa ila ndo kwasababu Yanga hawafanyi vizuri ndo maana kidogo wamerudi nyuma
1.Shaffih dauda
2.Maulid kitenge
3.Oscar Oscar
4.Yusuph mkule
5.Edo kumwembe
6.Alex luambano

Hawa hapa ni simba
1.Ahmed Abdallah
2.Saleh jembe
3.Ahmed Ahmed
4.Jemedar Said
5.Ibarahim Maestro
Shaffih ana kadi ya Simba. Alex, Eddo na Oscar sina uhakika ila wale watakuwa Simba

JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii niliwa
Huyu jamaa ni mnyarwanda anaona wivu bongo tunatoboa kwao wanazidi kushuka viwango

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza ameandika kama mtoto wa form 2C.

Aidha simfahamu huyu bwana. Miaka ile nilikua namkubali Edo Kumwembe sijui anafanya vp siku hizi.
Edo kanunuliwa nae kawa ni mchambuzi wa gsm,
Mkubwa kapotelea hapo watu wamemfika bei.
 
Dg aachane na hizi siasa za simba na Yanga hasa ukiwa mchambuzi na mwisho wa siku atajikuta kwenye kundi la wachambuzi ambao ni Takataka

Dg anajua sana tangu akiwa Ebony FM kule Iringa alikuwa anafanya kazi pale wakati anasoma chuo cha MUCE

Look at Ambangile huwezi jua jamaa ana mapenzi ya timu gani pale Kariakoo, na anazichambua hizi timu technically

Ila kuna hawa jamaa ni Yanga wakubwa kabisa ila ndo kwasababu Yanga hawafanyi vizuri ndo maana kidogo wamerudi nyuma
1.Shaffih dauda
2.Maulid kitenge
3.Oscar Oscar
4.Yusuph mkule
5.Edo kumwembe
6.Alex luambano

Hawa hapa ni simba
1.Ahmed Abdallah
2.Saleh jembe
3.Ahmed Ahmed
4.Jemedar Said
5.Ibarahim Maestro
Naku correct hapo kwa shafii ..
Shafii ni simba yule namfahm vizuri,
Na huko nyuma kashawai kua hadi kwenye kamati ya usajili ya kina hans na mulamu,
Shaffih ndo alitumwa uganda na hans kipindi kile kumaliza usajili wa geoge owino,
Shafiih ni simba ,simba kabsa.
 
Tujiulize hivi Young Africans or Simba wakicheza na timu nyingine uwanjani watu wanajaa kama hiyo siku ya Mwananchi or Simba?
 
Aliwai kusema mwaka jana kwa ulinzi huu wa Simba siwaoni wakifika mbali CAFCL,akiwa dis zaidi babu Onyango na mzee Wawa.

Wachambuzi wengi wa soka awajui ila kwasababu wamepata nafasi ndo wanatomboka tu.
Rick Abdallah ndo bingwa wa kuchambua soka na mwengine kidoogo ni Farhan Kihamo.
Unadhani ni kwa nini Dr Riki Abdullah hataki uchambuzi wa hizi timu zenu za kariakoo au ligi ya Bongo?
 
I see.. kafanya upuuzi mkubwa Sana..ujuwaji wa kipumbav kabisa..
Sio vizuri kuropoka mambo yetu..Ni kuturudisha nyuma..
 
Watanzania hawapendi ukweli hapo huyo kijana hajakosea
Kama anaongea kingereza na nyie jifunzeni kingereza
Mpira wa tanzania umejaza mashabiki wasiojitambua ndio kaongea ukweli mmepanic
 
Back
Top Bottom