Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
- Thread starter
-
- #21
Yes Ambangile yupo poa Namkubali sanaMchambuzi wangu hapa bongo ni George Ambagile tu, kwanza huwa anajiweka pembeni na hizi siasa za simba na Yanga
Na pili akianza kuzungumza simba na Yanga anaongea as a Coach coz Yupo hatua za awali katika masomo ya ukocha
Hao wengine ni wachumia tumbo tu.
Pole mkuu, huyu jamaa nataka kuijua historia yake ni nani hasa?Kuna kipindi twita alinitukana mimi sina akili na sina hela kwa hiyo kuendelea kubishana na mimi ni kupoteza muda...hata leo naona kuna raia mmoja alikuwa anamwambia yeye ana akili zaidi ndio maana ana followers 20k halafu huyo anayebishana naye ana followers 58 tu[emoji205]
Umeielewa post ya juu ya juu?Nimesoma hiyo comment yuko sahihi 100%
Simba na Yanga zinajaza uwanja wa Mkapa kwenye matukio mawili tu
1. Simba/Yanga Day
2. K/Koo Derby
Sisi mashabiki ndio tatizo hapa, kwanini uwanja hatujazi hata kwa 70% tunapocheza na timu kama Ihefu?
Issue itakayo cost kwa huyo dogo kupitia akaunti zake za mtandaoni ni kuweka wazi mapenzi yake katika moja ya hizi timu za Kariakoo na ni tofauti kwa Ambagile mpk sasa hajawi weka wazi mapenzi yake yapo wapi na wala huwezi kutambuaUkiachana na Ambangile mchambuzi mwingine anayekuja juu sana ni Farhan Kihamu Jr
Namuona huyu dogo akimpita hata Ambangile
Hizo mkuu nadhani zinatoshaHebu mwenye kapicha kake akatundike kuna wajuzi wa kusoma picha za watu tunaweza kujua mengi kuhusu yeye na kwa nini ana behave hivyo
Ukweli upi?Mm ndio mchambuz wangu bora anasimama kwenye ukwel
Uko sahihi sijawahi kumuona akisema anything positive kuhusu mpira wa Tanzania.Umeielewa post ya juu ya juu?
Jamaa analikuwa anasema kuwa league ya Tanzania ni mgodi, anahimiza mamlaka kuangalia fursa hiyo.
Jamaa akatokea alikotokea na comment yake ya kusiliba.
Simba na yanga zinajaza uwanja matukio hayo mawili tu?
Vipi mechi za kimataifa?
Vipi wakienda mkoani?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Una uhakika? Sijawahi kumuona akiashiria kuonesha mapenzi au bias kwa timu yoyote ya K/KooIssue itakayo cost kwa huyo dogo kupitia akaunti zake za mtandaoni ni kuweka wazi mapenzi yake katika moja ya hizi timu za Kariakoo na ni tofauti kwa Ambagile mpk sasa hajawi weka wazi mapenzi yake yapo wapi na wala huwezi kutambua
Ana kamuonekano ka kinyarwanda/tutsi,, ana maringo huyo balaa, ongeza na kale kakiingereza kake basi anajikuta ye Phil Neville kwenye uchambuziHebu mwenye kapicha kake akatundike kuna wajuzi wa kusoma picha za watu tunaweza kujua mengi kuhusu yeye na kwa nini ana behave hivyo
Msingi wa huyo jamaa aliyepost ilikuwa ni kuonesha kuwa mpira wa Tanzania unapendwa.Uko sahihi sijawahi kumuona akisema anything positive kuhusu mpira wa Tanzania.
Kuhusu kuzaja uwanja nimesema uwanja wa Mkapa, sio vya mikoani. Mechi za ligi ambazo sio derby uwanja hata nusu huwa haujai.
Haya endeleeni kukaa mahakamani.Tuliozoea kukaa mahakamani tunasema hoja yako haina mashiko na jalada linatupiliwa mbali
Mkoani vipi, kimataifa vipi?Kwani kaongea uongo? , mechi za derby tuu ndo hujaza uwanja, ukienda mechi nyingine washabiki huo wachache kupitiliiizaaaa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ww ndo hujaelewa vizuri asee. Ila Geoff yupo sahihi 100%Umeielewa post ya juu ya juu?
Jamaa analikuwa anasema kuwa league ya Tanzania ni mgodi, anahimiza mamlaka kuangalia fursa hiyo.
Jamaa akatokea alikotokea na comment yake ya kusiliba.
Simba na yanga zinajaza uwanja matukio hayo mawili tu?
Vipi mechi za kimataifa?
Vipi wakienda mkoani?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Huyu kijana abs Tatizo kubwa la grandioseKuna kikundi cha waandishi kimeibuka, na wanapenda watambulike kama wasema kweli. Lakini kila nikitazama niuone huo ukweli siupati naona ni majungu na chuki tu.
Kwa leo tuanze na huyu GEOF LEA.
Huyu kijana sijui ana shida gani, ni mjuaji hakuna mfano.
Bwana Geof lea anaamini kuwa ukosoaji kila kitu ndio kuonesha wewe ni mwerevu na mjuvi wa mambo.
Msimu uliopita alitoa kauli kwamba, haoni simba akifika mahala na beki ile,Mungu si athumani Simba anamaliza makundi amefungwa Goli mbili tu.
Amefikia hatua ya kuanza kusema eti simba na yanga zinatumia Nguvu kubwa kujaza uwanja, na wala sio kwamba mpira unapendwa Tanzania.( hii akizipinga page na wachambuzi wa nje)
Yapo mengi juu ya huyu kijana, naamiini kama na wewe umekutana nayo utasema.
Kama bado hujaona unaweza fuatilia tweet zake.
NB:Hatukatai ukosoaji ila hatutaki Ujuaji.
View attachment 1947012