Unanuka Kwapa? Hakiya Mungu tena hii dawa itakutibu 100% Kesho nipe mrejesho

Unanuka Kwapa? Hakiya Mungu tena hii dawa itakutibu 100% Kesho nipe mrejesho

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Oga vizuri, jikaushe maji chukua limao ulikate then ujipake makwapani, aloo hata ukishinda na mishe za juani hutasikia hata tone la harufu.

Usiku pia ukisharudi kwenye mishe zako oga, paka tena kidogo, uendelee na shughuli za usiku.

Kesho niletee mrejesho, sitaki hata 100. Mchango wako ni kucomment hapa ili kusaidia wengine.

Ukifanya hivyo kwa siku 10 mfululizo hata ukiacha ndio nitolee, hutanuka tena.
 
Oga vizuri, jikaushe maji chukua limao ulikate then ujipake makwapani, aloo hata ukishinda na mishe za juani hutasikia hata tone la harufu.

Usiku pia ukisharudi kwenye mishe zako oga, paka tena kidogo, uendelee na shughuli za usiku.

Kesho niletee mrejesho, sitaki hata 100. Mchango wako ni kucomment hapa ili kusaidia wengine.

Ukifanya hivyo kwa siku 10 mfululizo hata ukiacha ndio nitolee, hutanuka tena.
Nipe ya pumu
 
Nipe ya pumu
Pumu inatutesa wengi, zamanj ilikuwa ni kifua tu kinawasha ndani kwa ndani ila sasa hali inaingezeka ubaya kadri muda unavyokwenda, imefika hatua ikinikamata nakuwa kama napiga filimbi fulani hivi, kisha kifua kinawasha mnoo kwa ndani

Tena kuna changamoto imejitokeza siku hizi nikilala haswa ikiwa kifudifudi, lazima nishituke na hewa ikiwa imejazana kooni haipiti, hapo ni mpaka nipige mbwewe kama nimekunywa pepsi, lakini jicho linakuwa limenitoka hatari.
 
Pumu inatutesa wengi, zamanj ilikuwa ni kifua tu kinawasha ndani kwa ndani ila sasa hali inaingezeka ubaya kadri muda unavyokwenda, imefika hatua ikinikamata nakuwa kama napiga filimbi fulani hivi, kisha kifua kinawasha mnoo kwa ndani

Tena kuna changamoto imejitokeza siku hizi nikilala haswa ikiwa kifudifudi, lazima nishituke na hewa ikiwa imejazana kooni haipiti, hapo ni mpaka nipige mbwewe kama nimekunywa pepsi, lakini jicho linakuwa limenitoka hatari.
Pole sana,mwanangu inamtesa sana na nimetumia sana dawa za kisuni na hospitali lakini wapi
 
Watu wengi wananuka makwapa kwa sababu ya kuoga na sabuni za kufulia nguo na kuoshea vyombo na sio sabuni za kuoga .
Mkuu kuna jamaa angu aisee aliwahi vaa shati yangu yaani hata ukifua vipi bado kwapa alitoki mpaka nimeamua kugawa ile nguo...

Mi nakawa najua ile kwamba ni mtu anazaliwa nayo
 
Oga vizuri, jikaushe maji chukua limao ulikate then ujipake makwapani, aloo hata ukishinda na mishe za juani hutasikia hata tone la harufu.

Usiku pia ukisharudi kwenye mishe zako oga, paka tena kidogo, uendelee na shughuli za usiku.

Kesho niletee mrejesho, sitaki hata 100. Mchango wako ni kucomment hapa ili kusaidia wengine.

Ukifanya hivyo kwa siku 10 mfululizo hata ukiacha ndio nitolee, hutanuka tena.
Ndo ume balehe majuzi nini?
Ndimu/lemau
Mkaa
Ukoko wa ugali
wazee wako tume tumia sana enz izo kipindi vikwapa vime anza kuleta mushkeli
 
Mkuu pia kuna aina fulan ya vyakula ukizoea kula mara kwa mara lazima utoe harufu kali ya jasho ,hii kitu ni nouma sana.
Mmmh vyakula gani hvo mkuu...
Japo mi sijawahi experience haya mambo ya kikwapa aiseee....

Ila na nywere pia zinachangia yaani kwapa nahisi ime base sana kwenye personal hygiene tuu
 
Mmmh vyakula gani hvo mkuu...
Japo mi sijawahi experience haya mambo ya kikwapa aiseee....

Ila na nywere pia zinachangia yaani kwapa nahisi ime base sana kwenye personal hygiene tuu
Sure, usafi ,lishe hasa vyakula vyenye viungo vingi hasa vitunguu swaumu , manukato ( sabuni) ambazo sio spesheli kwa matumizi ya mwili ,pia kuvaa nguo zisizo suhusu ngozi kupumua na magonjwa ya ngozi hasa yanayoanzia kwenye shina la ngozi .
 
Watu wengi wananuka makwapa kwa sababu ya kuoga na sabuni za kufulia nguo na kuoshea vyombo na sio sabuni za kuoga .
Siyo kweli. Mimi daima hizo sabuni Zenu za kuongea nazionaga tu. Huwa naogea zile za kigoma asee nikikoswa Huwa anapata wazo sana.

Niliwahi mwambia jamaa angu atumie limao alipona
 
Back
Top Bottom