Unanuka Kwapa? Hakiya Mungu tena hii dawa itakutibu 100% Kesho nipe mrejesho

Unanuka Kwapa? Hakiya Mungu tena hii dawa itakutibu 100% Kesho nipe mrejesho

Usafi pia unachangia mkuu..

Ushawahi jaribu..?
Boss usiandike vitu vinavyoweza umiza wenzio kisa huna hilo tatizo, kwahio kwakili yako mtu anayefanya kazi ofisini Posta anatoka kwake aogi, African nguo nk

Mimi nimefanya kazi na huyo mtu msafi, yupo professional kuliko ofisi nzima ila akitoka ikitokea sababu ya kuoata joto kidogo kwake tiali tatizo anatumia ndimu kukata harufu inamaana sisi wasafi sana.

Hilo ni tatizo la kuzaliwa zaidi halina uhusiano na usafi wewe kama huna hata uwe mchafu vipi utanuka jasho la kawaida ila sio kikwapa, kuna tofauti ya harufu ya jumla ya jasho na kikwapa.

Wewe huna Shakur Mungu usilete gabari za kukufuru hapa.
 
Boss usiandike vitu vinavyoweza umiza wenzio kisa huna hilo tatizo, kwahio kwakili yako mtu anayefanya kazi ofisini Posta anatoka kwake aogi, African nguo nk

Mimi nimefanya kazi na huyo mtu msafi, yupo professional kuliko ofisi nzima ila akitoka ikitokea sababu ya kuoata joto kidogo kwake tiali tatizo anatumia ndimu kukata harufu inamaana sisi wasafi sana.

Hilo ni tatizo la kuzaliwa zaidi halina uhusiano na usafi wewe kama huna hata uwe mchafu vipi utanuka jasho la kawaida ila sio kikwapa, kuna tofauti ya harufu ya jumla ya jasho na kikwapa.

Wewe huna Shakur Mungu usilete gabari za kukufuru hapa.
Sasa hapo nimekupata huwenda nilikua nashindwa kutofautisha harufu ya kawaida na kikwapa mkuu hapo sasa ndio umenijuza

Shukrani mkuu ni mambo ya kuelekezana tu haya na nimeelewa 🙏🙏🙏
 
Sasa hapo nimekupata huwenda nilikua nashindwa kutofautisha harufu ya kawaida na kikwapa mkuu hapo sasa ndio umenijuza

Shukrani mkuu ni mambo ya kuelekezana tu haya na nimeelewa 🙏🙏🙏
Aaah wengi wanashindwa kujua tofauti yake, wengi wakisiki(kunusa) harufu ya mtu ananuka jasho katoka majuani wanaita kikwapa ile sio kikwapa ile ni ananuka jasho.
 
Watu wengi wananuka makwapa kwa sababu ya kuoga na sabuni za kufulia nguo na kuoshea vyombo na sio sabuni za kuoga .
mimi kabisa uyu,, sabuni imeandikwa laundry mi naogea
 
Pole sana,mwanangu inamtesa sana na nimetumia sana dawa za kisuni na hospitali lakini wapi
Kunywa chai isiyo na sukari Kila siku asubuhi walau vikombe viwili na usiku baada ya kula vikombe viwili!ukipata chai ya kijani itafaa zaidi kama una chai ya kawaida Fanya hivyo!utaondoa uvimbe na mucus kwenye respiratory system na kupona kabisa!!
 
Back
Top Bottom