Unanuka Kwapa? Hakiya Mungu tena hii dawa itakutibu 100% Kesho nipe mrejesho

Unanuka Kwapa? Hakiya Mungu tena hii dawa itakutibu 100% Kesho nipe mrejesho

Pumu inatutesa wengi, zamanj ilikuwa ni kifua tu kinawasha ndani kwa ndani ila sasa hali inaingezeka ubaya kadri muda unavyokwenda, imefika hatua ikinikamata nakuwa kama napiga filimbi fulani hivi, kisha kifua kinawasha mnoo kwa ndani

Tena kuna changamoto imejitokeza siku hizi nikilala haswa ikiwa kifudifudi, lazima nishituke na hewa ikiwa imejazana kooni haipiti, hapo ni mpaka nipige mbwewe kama nimekunywa pepsi, lakini jicho linakuwa limenitoka hatari.
pole mkuu
 
Pumu inatutesa wengi, zamanj ilikuwa ni kifua tu kinawasha ndani kwa ndani ila sasa hali inaingezeka ubaya kadri muda unavyokwenda, imefika hatua ikinikamata nakuwa kama napiga filimbi fulani hivi, kisha kifua kinawasha mnoo kwa ndani

Tena kuna changamoto imejitokeza siku hizi nikilala haswa ikiwa kifudifudi, lazima nishituke na hewa ikiwa imejazana kooni haipiti, hapo ni mpaka nipige mbwewe kama nimekunywa pepsi, lakini jicho linakuwa limenitoka hatari.
Aisee pole sana ndugu yangu.
Ninakupatia aina tano za dawa za mimea zinazoweza kukusaidia kwenye hiyo shida yako.
1.Geng'wambula (Entanda abyssinica)
2.Lweja (Croton menyhartii)
3.Lonzwe(Euphorbia sp.)
4.Mlungulungu(Zonthoxylum cholybeum)
Hayo ni majina ya mimea kwa lugha ya kisukuma na ukiwa katika jamii hiyo mimea hiyo inafahamika na wauzaji wengi wa dawa asili wa jamii hiyo ( uwe makini kuuziwa isiyo sahihi) maana yake tafuta mwenyeji akusaidie. Kwenye mabano ni majina yake ya kisayansi.
Unatakiwa kuchanganya uwiano sawa wa unga wa mizizi yake iliyoandaliwa vyema,unakuwa unatumia kijiko kidogo cha chai katika maji moto mara tatu kwa siku.
5.Kasuku( Warbugia ugandensis) Hii ni kali sana ndiyo maana sijakueleza kuichanganya kwa uwiano sawa na wale wengine.Hii unatakiwa kutumia robo kijiko tu cha chai kwenye maji moto mara mbili kwa siku.Mimea hii haina madhara yoyote kiafya na imetumika katika tiba hiyo na tiba nyingine kwa muda mrefu.
POLE SANA.MUNGU AKUPONYE!
 
Aisee pole sana ndugu yangu.
Ninakupatia aina tano za dawa za mimea zinazoweza kukusaidia kwenye hiyo shida yako.
1.Geng'wambula (Entanda abyssinica)
2.Lweja (Croton menyhartii)
3.Lonzwe(Euphorbia sp.)
4.Mlungulungu(Zonthoxylum cholybeum)
Hayo ni majina ya mimea kwa lugha ya kisukuma na ukiwa katika jamii hiyo mimea hiyo inafahamika na wauzaji wengi wa dawa asili wa jamii hiyo ( uwe makini kuuziwa isiyo sahihi) maana yake tafuta mwenyeji akusaidie. Kwenye mabano ni majina yake ya kisayansi.
Unatakiwa kuchanganya uwiano sawa wa unga wa mizizi yake iliyoandaliwa vyema,unakuwa unatumia kijiko kidogo cha chai katika maji moto mara tatu kwa siku.
5.Kasuku( Warbugia ugandensis) Hii ni kali sana ndiyo maana sijakueleza kuichanganya kwa uwiano sawa na wale wengine.Hii unatakiwa kutumia robo kijiko tu cha chai kwenye maji moto mara mbili kwa siku.Mimea hii haina madhara yoyote kiafya na imetumika katika tiba hiyo na tiba nyingine kwa muda mrefu.
POLE SANA.MUNGU AKUPONYE!
Shukrani kaka, nafanyia kazi hili.
 
Hizi dawa zisizo rasmi kuna saa naziamini.
Miguu inayotoa harufu mbaya maji ya ukoko wa ugali, hii nina ushahidi asili mia.
Kama hupendi ndevu chukua yai zungushia kidevuni, ndevu utazisika na kuziona kwa wengine, hili nalo ninaushahidi nalo asilimia mia.
 
Mmmh vyakula gani hvo mkuu...
Japo mi sijawahi experience haya mambo ya kikwapa aiseee....

Ila na nywere pia zinachangia yaani kwapa nahisi ime base sana kwenye personal hygiene tuu
Kikwapa haihusiani na usafi, ni mtu anazaliwa nayo tuseme genetic zaidi mwenye kikwapa hapa anyone na aoge mara mbili kwasiku akipata mazingira ya kutokwa na jasho hata kidogo harufu inakuja.
 
Sure, usafi ,lishe hasa vyakula vyenye viungo vingi hasa vitunguu swaumu , manukato ( sabuni) ambazo sio spesheli kwa matumizi ya mwili ,pia kuvaa nguo zisizo suhusu ngozi kupumua na magonjwa ya ngozi hasa yanayoanzia kwenye shina la ngozi .
Kikwapa sio ishu ya usafi wala ugonjwa ni disorder tu mtu anazaliwanayo.
 
Pumu inatutesa wengi, zamanj ilikuwa ni kifua tu kinawasha ndani kwa ndani ila sasa hali inaingezeka ubaya kadri muda unavyokwenda, imefika hatua ikinikamata nakuwa kama napiga filimbi fulani hivi, kisha kifua kinawasha mnoo kwa ndani

Tena kuna changamoto imejitokeza siku hizi nikilala haswa ikiwa kifudifudi, lazima nishituke na hewa ikiwa imejazana kooni haipiti, hapo ni mpaka nipige mbwewe kama nimekunywa pepsi, lakini jicho linakuwa limenitoka hatari.
Pole mkuu njoo pm tafadhali
 
Kikwapa haihusiani na usafi, ni mtu anazaliwa nayo tuseme genetic zaidi mwenye kikwapa hapa anyone na aoge mara mbili kwasiku akipata mazingira ya kutokwa na jasho hata kidogo harufu inakuja.
Usafi pia unachangia mkuu..

Ushawahi jaribu..?
 
Pumu inatutesa wengi, zamanj ilikuwa ni kifua tu kinawasha ndani kwa ndani ila sasa hali inaingezeka ubaya kadri muda unavyokwenda, imefika hatua ikinikamata nakuwa kama napiga filimbi fulani hivi, kisha kifua kinawasha mnoo kwa ndani

Tena kuna changamoto imejitokeza siku hizi nikilala haswa ikiwa kifudifudi, lazima nishituke na hewa ikiwa imejazana kooni haipiti, hapo ni mpaka nipige mbwewe kama nimekunywa pepsi, lakini jicho linakuwa limenitoka hatari.
Naijua dawa inayotibu hii kitu hasa kwa watoto ni chap tu mtu mzima itachukua muda ila utapona
 
Sasa kama mtu unaoga kila siku harufu ya kwapa inatoka wapi?
Hata nikae siku 2 bila kuoga huwezi kunisikia nanuka kikwapa
 
Back
Top Bottom