Unapenda Paka? Tupia picha ya Paka wako tumuone

Vishu Mtata na Mbaga Jr OKW BOBAN SUNZU mna maoni gani wazee wa u much know
🀣🀣🀣Hata mi napenda paka ndgu yangu ila tu asiwe mkubwa.
Na nina bahati nao sana, huwa wananikubali mno na najua kucheza nao wakafurahi.

Paka akiwa mkubwa afu dume huwa yanakua mabaya kishenzi.

Toka nakua home tunafuga paka.

Mnyama nisiemkubali ni dogi, sinaga imani na yule mwamba.
 
Paka wangu washenzi sana,, hawajai kutulia nyumbani hata uwape nini, kutwa kiguu na njia nadhani wanatafuta mademu maana ni madume tupu
Humlishi vizuri, kama kwako anakula vizuri, unakaa nae mda mrefu wala hawezi kuzurula.
Kama ni pisi basi vijamaa vitakua havikauki hapo. Usiku utakua unakereka na ugomvi wa kugombea papuchi.
 
Mhh
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we jamaa katiri sana
 
Local breed, nampiga misosi ya kutosha na afya inazingatiwa kwa wakati, balaa sana.
 
Home tulikua tunasumbuliwa sana a panya,one day nikaenda kwa mshikaji wangu nikakuta paka wao kazaa,nikachukua kitoto cha paka,hadi leo nyumbani paka ndio mnyama pendwa ndani ya nyumba,hiyo ilikua 2007.na hakuna panya home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…