Hahahaha,Paka anadeka.???Paka Wana tabia za kike tena wale Watoto wa kike visirani, Wenye Paka huwa hamuoni vile Paka akikuona anavyo deka huku anakufuata na kukulia aisee nachukia sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimetiririka tu 😂Uwe una weka Aya kaka, hii Ina umiza macho.
Hakuna resting point kabiSa 😄🤔
Ukimdekeza sana anaanza kunyakunya ovyo kwenye pembe za nyumba yako utaanza kusikia harufu na Mavi ya Paka' yananuka balaa usipime ndio maana wakinya nje kwenye mchanga wanachimba kunya na kufukia sio km Mbwa Mbwa anakunya tu hafukii wala niniHahahaha,Paka anadeka.???
Oa kwanza utanielewaMkuu sema point yako. Nikiona ndio paka anakua mke wa pili au nikiwa bachelor paka ndio anafanyaje?
UshindweWewe Paka' wako atakua anang'ata sana
Aisee 😄kuna kitu kinanishangaza sana. paka wa dar hunenepa sana kuliko hata wanaowafuga yaani
utakuta jamaa kimbau mbau ila paka wake mnene balaaa 😂😂😂😂
SaanaHahahaha,Paka anadeka.???
Niite mama R 🤣Mama manunu
Yaani, uki pause kidogo,bhujui uli ishia wapi😆🤣Nimetiririka tu 😂
Shangazi huja nialika ujue😊Niite mama R 🤣
Ngoja niwaanzishie na diet wakirudi, labda kweli watatuliaHumlishi vizuri, kama kwako anakula vizuri, unakaa nae mda mrefu wala hawezi kuzurula.
Kama ni pisi basi vijamaa vitakua havikauki hapo. Usiku utakua unakereka na ugomvi wa kugombea papuchi.
Mama RemmyNiite mama R 🤣
Kama ni mkubwa humuwez, subiri azae, akizaa mlishe vizuri ili asiwale watoto wake.Ngoja niwaanzishie na diet wakirudi, labda kweli watatulia
Naelewa mkuuAnakutoa roho kabisa. 1v1 na paka, chances za kumshinda zipo ila ni kidogo sana.
Ni madume sasa😃Kama ni mkubwa humuwez, subiri azae, akizaa mlishe vizuri ili asiwale watoto wake.
Vitoto vikikua vichukue uanze navyo.
😍😍😍Ngoja niwaanzishie na diet wakirudi, labda kweli watatulia
Hayo fukuza tu, mipaka dume huwa siifagilii kabisa.Ni madume sasa😃
We unajua shangazi yako sipikagi 😂Shangazi huja nialika ujue😊