Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
lazma nitetemeke asee hahahaha yerewiiiiiiihahahh koti la suti unapata na skuna matata, jeans blue ukipata na shati la kuchomekea mkanda nje hapo ni yereuwii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazma nitetemeke asee hahahaha yerewiiiiiiihahahh koti la suti unapata na skuna matata, jeans blue ukipata na shati la kuchomekea mkanda nje hapo ni yereuwii
ushawahi kumnunulia umpendaye, uzuri cadet inapendeza kwa kiatu chochote hasahasa ukipata skunaMimi anavovaa Cadet tuuu..na mashati yale ya draft hvi...
Kuna wakaka wanajipenda hady raha
binafsi napenda manzi avae kigauni kifupi na viatu vifupi sijui wanaita bajaj vile, dah nasuuzika sana roho yangu, au avae gown ndefu iliyotight bahati yake awe kajaliwa backward doh! ni sheedah! sipendi demu avae suruali iliyochanua chinilazma nitetemeke asee hahahaha yerewiiiiiiiView attachment 325122
fanya hivyo, zamani nilikuwa napenda kuchomekea nilizipenda sana hizo nguo, siku hz sijui vp sitaki kuchomekea, teh!Kwa kweli bado ila nina mpango huo
anataka nitembee kama napanda mlimaMtoto wa kichaga na viatu virefu wapi na wapi....!!!
Hahahha fundi Pima juu chini kadiria inaitwa hahahabinafsi napenda manzi avae kigauni kifupi na viatu vifupi sijui wanaita bajaj vile, dah nasuuzika sana roho yangu, au avae gown ndefu iliyotight bahati yake awe kajaliwa backward doh! ni sheedah! sipendi demu avae suruali iliyochanua chini
huyu kavaa kibuyu au?lazma nitetemeke asee hahahaha yerewiiiiiiiView attachment 325122
asante mkuu...Basi sawa.weekend hii nakupa offer namimi nione mtoto wa kichagga unavyotokelezea na mitoko ya kiweekend.
mchaga wa kwenu mtani hapo anakitikisa muda wootehuyu kavaa kibuyu au?
ha hahaha wanatisha aiseeeHivi unaanzaje kuvaa hivi kwa mfano[emoji23]
![]()
![]()
![]()
![]()
ha ha ha ha hamchaga wa kwenu mtani haoi anakitikisa muda woote
😀😀😀😀😀😀mi huwa naprnda viatu vya kudumbukiza na vya juu vibajaji very rare haviniprndezi miguu inafanana na ya babangu😱😱😱😱😱😱😱😱😱😎😎😎😎😎anataka nitembee kama napanda mlima
ha hahaha pole bwana aisee komaa hivyo hivyo😀😀😀😀😀😀mi huwa naprnda viatu vya kudumbukiza na vya juu vibajaji very rare haviniprndezi miguu inafanana na ya babangu😱😱😱😱😱😱😱😱😱😎😎😎😎😎