Unapo-deal na Yanga au Simba kuwa makini Sana

Unapo-deal na Yanga au Simba kuwa makini Sana

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
 
Hizi zako ndio zile mentallity za kizee zilizopitwa na wakati, kizazi hiki kutuletea habari za waliosaidia kupata uhuru kwenye football wakati kuna kanuni, sheria, na miongozo inayoongoza mpira wa miguu Tanzania, mimi naona ni ushamba tu.
 
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua[emoji23]

Hapa mkuu hapana..!
Sikutegemea mtu kama wewe ushindwe kumwelewa mtoa mada
 

Attachments

  • s (131).jpg
    s (131).jpg
    37.5 KB · Views: 5
  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    36.3 KB · Views: 4
  • images.jpeg
    images.jpeg
    25.9 KB · Views: 4
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    18 KB · Views: 4
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Mimi ni Yanga ila Manara hafai kuwa msemaji wetu. Hana adabu kabisa.
 
Mambo ya manara yanga mnataka muingie kichwa kichwa zama zimebadilika viongozi wa mihimili ya juu wote ni simba hiyo jeuri manara anaitoa wapi.
 
Undercover hawezi kufanya huo ujinga wa kugombana na uongozi. Hao viongozi wa TFF wenyewe ni CCM asilimia 100. Refer comments ya Karia kuhusu Tundu Lisu.
Utopolo achaneni na tabia ya kutafuta huruma ya serikali katika makosa yenu ya kiutopolo
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Mashabiki wa yanga bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Unataka kusema manara ni undercover kuliko karia???wewe n kinyesi kama vinyesi wenzio hapo salamanda
 
Hatuwezi kuacha ujinga kama huo uendelee katika mpira wetu kwa kuendekeza HabarI kama hizi.

Mtu akifanya ujinga sheria ichukuwe mkondo wake basi. Siyo kujificha kwenye kivuli cha uhuru. Vinginevyo wote waliofungiwa na tff waachiwe huru

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
ngoja tukuache tyu... ushakuwa craze
 
Back
Top Bottom