Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua[emoji23]
Hapa mkuu hapana..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua[emoji23]
Hapa mkuu hapana..!
Kwa akili hizihizi za manara?au nyingine?Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.
Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.
Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.
Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.
Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.
Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.
Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.
Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Watakuambia usitutishe....ila we jamaa ni manara mtupuUnapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.
Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.
Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.
Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.
Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.
Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.
Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.
Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Kuna levels za undercover..hata kama ni kweli hao ni wale petty undercoversKatibu mwenezi wa CCM mkoa wa DSM mstaafu na mkuu wa wilaya.Kuna ukweli fulani.Na wote walishakuwa na kesi lakini sijui ziliishaje
Naunga mkono hojaUnapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.
Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.
Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.
Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.
Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.
Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.
Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.
Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua.
Only amateurs can do that...! Not the professionals who don't need to prove anything to public...!Sio kweli, sio kweli, sio kweli, sio kweli. Unapiga picha na kiongozi na ww huwezi jua kabisa.
Asee usitutishe.Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.
Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.
Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.
Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.
Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.
Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.
Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.
Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Acha kutisha watu. Leodga Tenga Yuko wapi? Au amefungwa?Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.
Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.
Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.
Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.
Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.
Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.
Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.
Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Acha kuleta hisia za kike kike hapa.Suala ni manara na Hersi wame amedharau mamlakaKuna kundi kubwa lipo nyuma ya Manara siyo kwa sababu ya uropokaji wake! Ila ni kwa sababu halifurahishwi na namna TFF inavyo shughulika na wale wote wenye mitazamo tofauti na hiyo taasisi, pamoja na huyo rais wake wa mchongo.
Wallace Karia amejigeuza kama mungu mtu vile! Kila mwenye mawazo tofauti na yeye, basi lazima amtengenezee zengwe! Na mifano ya wahanga ni mingi!! Huu ujinga hauvumiliki hata kidogo. Kwanza amalize muda wake, aondoke.
Binafsi niliomuona ni [emoji706] siku alipotumia mfano wa utundulissu, kwa kuwatisha wale wote wenye mtazamo tofauti na yeye!
Bora umuambie huyo.True undercovers huwa hawatambulishwi wala kupiga picha na viongozi
Hamna shukrani. Karia kawasaidia kubeba ubingwa mwaka huu kwa kumuingiza GSM kama mdhamini mwenza wa ligi ya nbc sasa mnamnanga.Mungu anawaonaKuna kundi kubwa lipo nyuma ya Manara siyo kwa sababu ya uropokaji wake! Ila ni kwa sababu halifurahishwi na namna TFF inavyo shughulika na wale wote wenye mitazamo tofauti na hiyo taasisi, pamoja na huyo rais wake wa mchongo.
Wallace Karia amejigeuza kama mungu mtu vile! Kila mwenye mawazo tofauti na yeye, basi lazima amtengenezee zengwe! Na mifano ya wahanga ni mingi!! Huu ujinga hauvumiliki hata kidogo. Kwanza amalize muda wake, aondoke.
Binafsi niliomuona ni [emoji706] siku alipotumia mfano wa utundulissu, kwa kuwatisha wale wote wenye mtazamo tofauti na yeye!
ni mwenye akili tu... ambaye hana mambo ya ushabiki ndio atakuelewa na kujua kwamba unaongea ukweli 100%Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.
Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.
Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.
Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.
Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.
Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.
Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.
Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.
Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
watu wanamchukulia poa kwasababu ya aina aliyoichagua ya kuwa mropokaji na rangi ya ngozi yakeSikutegemea mtu kama wewe ushindwe kumwelewa mtoa mada
Na kama ni kweli, basi tutakuwa na mfumo wa kijinga sana wa kupata ma spy.Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua[emoji23]
Hapa mkuu hapana..!
sidhani kama atamaliza muda wake vizuri... labda ahurumiwe, anakera mno... anawaza kupambana na watu badala ya maendeleo ya soka na miondominu yake, ligi inazidi kukuwa ila miundombinu bado ipo hovyoKuna kundi kubwa lipo nyuma ya Manara siyo kwa sababu ya uropokaji wake! Ila ni kwa sababu halifurahishwi na namna TFF inavyo shughulika na wale wote wenye mitazamo tofauti na hiyo taasisi, pamoja na huyo rais wake wa mchongo.
Wallace Karia amejigeuza kama mungu mtu vile! Kila mwenye mawazo tofauti na yeye, basi lazima amtengenezee zengwe! Na mifano ya wahanga ni mingi!! Huu ujinga hauvumiliki hata kidogo. Kwanza amalize muda wake, aondoke.
Binafsi niliomuona ni 🚮 siku alipotumia mfano wa utundulissu, kwa kuwatisha wale wote wenye mtazamo tofauti na yeye!