Unapo-deal na Yanga au Simba kuwa makini Sana

Unapo-deal na Yanga au Simba kuwa makini Sana

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua[emoji23]

Hapa mkuu hapana..!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Kwa akili hizihizi za manara?au nyingine?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Watakuambia usitutishe....ila we jamaa ni manara mtupu
 
Katibu mwenezi wa CCM mkoa wa DSM mstaafu na mkuu wa wilaya.Kuna ukweli fulani.Na wote walishakuwa na kesi lakini sijui ziliishaje
Kuna levels za undercover..hata kama ni kweli hao ni wale petty undercovers
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Naunga mkono hoja
 
Ya nyongeza
JamiiForums-744638269.jpg
 
Sio kweli, sio kweli, sio kweli, sio kweli. Unapiga picha na kiongozi na ww huwezi jua kabisa.
Only amateurs can do that...! Not the professionals who don't need to prove anything to public...!
 
Naunga mkono serikali suala la kupiga marufuku utumiaji wa bangi.

Hili ni tatizo.

Yaani mtu avunje Sheria waziwazi aachiwe kisa ni utopolo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kundi kubwa lipo nyuma ya Manara siyo kwa sababu ya uropokaji wake! Ila ni kwa sababu halifurahishwi na namna TFF inavyo shughulika na wale wote wenye mitazamo tofauti na hiyo taasisi, pamoja na huyo rais wake wa mchongo.

Wallace Karia amejigeuza kama mungu mtu vile! Kila mwenye mawazo tofauti na yeye, basi lazima amtengenezee zengwe! Na mifano ya wahanga ni mingi!! Huu ujinga hauvumiliki hata kidogo. Kwanza amalize muda wake, aondoke.

Binafsi niliomuona ni 🚮 siku alipotumia mfano wa utundulissu, kwa kuwatisha wale wote wenye mtazamo tofauti na yeye!
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Asee usitutishe.
Lazima sheria zifuatwe.Hakuna aliye juu ya sheria.Acheni kudharau wenye mamlaka,
Ajabu unaweza kuta aliyeandika huu upuuzi ni msomi kabisa
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
Acha kutisha watu. Leodga Tenga Yuko wapi? Au amefungwa?
 
Kuna kundi kubwa lipo nyuma ya Manara siyo kwa sababu ya uropokaji wake! Ila ni kwa sababu halifurahishwi na namna TFF inavyo shughulika na wale wote wenye mitazamo tofauti na hiyo taasisi, pamoja na huyo rais wake wa mchongo.

Wallace Karia amejigeuza kama mungu mtu vile! Kila mwenye mawazo tofauti na yeye, basi lazima amtengenezee zengwe! Na mifano ya wahanga ni mingi!! Huu ujinga hauvumiliki hata kidogo. Kwanza amalize muda wake, aondoke.

Binafsi niliomuona ni [emoji706] siku alipotumia mfano wa utundulissu, kwa kuwatisha wale wote wenye mtazamo tofauti na yeye!
Acha kuleta hisia za kike kike hapa.Suala ni manara na Hersi wame amedharau mamlaka
Usianze kuingiza mambo ya siasa kwani manara mwenyewe ndio hao hao wanaokejeli wapinzani
 
Kuna kundi kubwa lipo nyuma ya Manara siyo kwa sababu ya uropokaji wake! Ila ni kwa sababu halifurahishwi na namna TFF inavyo shughulika na wale wote wenye mitazamo tofauti na hiyo taasisi, pamoja na huyo rais wake wa mchongo.

Wallace Karia amejigeuza kama mungu mtu vile! Kila mwenye mawazo tofauti na yeye, basi lazima amtengenezee zengwe! Na mifano ya wahanga ni mingi!! Huu ujinga hauvumiliki hata kidogo. Kwanza amalize muda wake, aondoke.

Binafsi niliomuona ni [emoji706] siku alipotumia mfano wa utundulissu, kwa kuwatisha wale wote wenye mtazamo tofauti na yeye!
Hamna shukrani. Karia kawasaidia kubeba ubingwa mwaka huu kwa kumuingiza GSM kama mdhamini mwenza wa ligi ya nbc sasa mnamnanga.Mungu anawaona

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Unapo deal na simba na yanga kuwa makini uwe Afsa wa serikali au uwe sijui rais wa TFF mwisho wako hautakuwa mzuri.

Angalia historia ya yanga ilipotoka fatilia vizuri upatikanaji wa uhuru wa Tanganyika ulipatikana fatilia mchango wa Yanga na historia yake katika taifa hili.

Yanga is next after Tanganyika hii ni timu ya waasisi wa taifa hili imekita mizizi kweli kwenye system yote ya nchi.

Ningeshauri Karia ajifunze kwa Malinzi kilichomkuta kwa kuchezea tu maslahi ya Simba.

Yanga na Simba ni serikali na ni ccm ukitaka kupotea fanya mchezo na hizi timu.

Angalia hata wasemaji wa hizi timu kwa makini sio watu wa kawaida Kama ambavyo tunawachukulia.

Jerry Muro, Manara Hawa ni spy ndani ya system ya mpira wa taifa letu msiseme sikuwasanua Tukiona mnakimbizana kisutu kwa makesi ya ufisadi pale TFF.

Fanya mambo ya msingi kwenye mpira then nenda achia wengine wafanye.

Kuingilia Maslahi ya Yanga au Simba ni sawa na kuingilia uhuru wa Tanganyika na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.
ni mwenye akili tu... ambaye hana mambo ya ushabiki ndio atakuelewa na kujua kwamba unaongea ukweli 100%
 
Kuna kundi kubwa lipo nyuma ya Manara siyo kwa sababu ya uropokaji wake! Ila ni kwa sababu halifurahishwi na namna TFF inavyo shughulika na wale wote wenye mitazamo tofauti na hiyo taasisi, pamoja na huyo rais wake wa mchongo.

Wallace Karia amejigeuza kama mungu mtu vile! Kila mwenye mawazo tofauti na yeye, basi lazima amtengenezee zengwe! Na mifano ya wahanga ni mingi!! Huu ujinga hauvumiliki hata kidogo. Kwanza amalize muda wake, aondoke.

Binafsi niliomuona ni 🚮 siku alipotumia mfano wa utundulissu, kwa kuwatisha wale wote wenye mtazamo tofauti na yeye!
sidhani kama atamaliza muda wake vizuri... labda ahurumiwe, anakera mno... anawaza kupambana na watu badala ya maendeleo ya soka na miondominu yake, ligi inazidi kukuwa ila miundombinu bado ipo hovyo
 
Back
Top Bottom