Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Atukome watu wa Lindi msiiieeewKwa vile ushaleta ukabila basi tuende kikabila,jiwe anatoka ukanda gani?halafu ambatanisha na copy ya vyeti vyake vya elimu orginal tuvione.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atukome watu wa Lindi msiiieeewKwa vile ushaleta ukabila basi tuende kikabila,jiwe anatoka ukanda gani?halafu ambatanisha na copy ya vyeti vyake vya elimu orginal tuvione.
nimecheka sana.......Anaitwa maishapopote [emoji3] [emoji3] [emoji3].... Nilicheka sana
Mh maranyingi ndoto za namna huu ni maono... Kuna jambo unajaribu kufunuliwaMshana hivi ile hali ya kuota ndoto moja siku NNE au tatu mfululizo inatokana na nini......kuna kipindi nilikua naota nafukuzwa na simba siku ya kwanza ikaishia kati siku ya pili niliendelea kuota ilipoishia Jana ....siku ya tatu hivyohvyo iliendelea ilipoishia
Hujalazimishwa kuamini haya yaliyoandikwa lakini kwa sababu this is dunia na ninakuombea kwa mungu uwepo sana na uje ushuhudie uchawi kuwa upo. Niliwahi kuishi miezi sita bila kivuli wenzangu wakisimama kwenye jua wanakuwa na kivuli mimi nikisimama sina kivuli.Uchawi ni imani kali, pilika pilika zinazoambatana na matumizi ya sumu..kuamini uchawi ni ujinga..
Duh kivipi labda huwa naogopaga sanaMh maranyingi ndoto za namna huu ni maono... Kuna jambo unajaribu kufunuliwa
Natamani mwendelezo wa hii story sorry unaweza kuhadithia kidogoNi kweli kaka tena sayansi hi isiyoonekana iko faster and more powerfully.
Umenikumbusha mwaka 2003 nilifanikiwa kukutana na Dragon snake (Fire snake) arusha karatu mang'ola unavukaziwa eyasi mpaka sehem inaitwa Nong'oneji. Wakati huo nilikuwa natafuta Mercury. Katika kuzungumza taarifa ziliwafikiwa wajerumani wakaletwa na waskakaji mpaka geto wanataka niwapeleke
Nakumbuka tulifly mpka huko wale jamaa na wao ni wachawi maana walikuwa na miwani flani hivi ukiivaa unaona mambo ya giza mpaka huyo snake pamoja na viumbe vingine vya ajabu ajabu lkn ukivua hiyo miwani unarudi kwenye 3D yetu unaona miti, mawe na wenzio.
Hahahahaha kivuli chako kilihakiwa aiseeeeeHujalazimishwa kuamini haya yaliyoandikwa lakini kwa sababu this is dunia na ninakuombea kwa mungu uwepo sana na uje ushuhudie uchawi kuwa upo. Niliwahi kuishi miezi sita bila kivuli wenzangu wakisimama kwenye jua wanakuwa na kivuli mimi nikisimama sina kivuli.
Mshana Jr, naomba uelezee hapa kwenye kinga ipatikanayo katika damu ya Yesu. Watu wenye sayansi hii, wanaichukuliaje hiiWachawi hufanya mambo kinyume
.. Huingia uchi
.. Huingia kinyumenyume
.. Huingilia kwenye pembe za nyumba hasa kushoto
Mchawi hapatani na vitu vyenye ugwadu na harufu kali kwahiyo ukiwa na ndimu kitunguu saumu na chumvi ni kinga tosha kabisa.... Kwa wale waamini na waaminio kinga na tumaini lao kubwa pamoja na hayo mengine yote ni Yesu Kristo kupitia damu yake takatifu
Mshana nisaidie kuzuia chuma ulete wanakaribia kunifilisiKuna mengi ya kujadiliana hapo nitafute ukipata muda
Aani maangaiko ya dunia na kusaka pesa mzee ila ntakufuata inboxNatamani mwendelezo wa hii story sorry unaweza kuhadithia kidogo
Dunia inamambo ndugu walininyima raha na amani ila kilikuja kurudi lkn kwa tabu maana nilizimishwa kama masaa 6 watu nimekufa lkn niliamka tena na hapo nilivyotoka nje nikajikuta kivuli kipo. Uchawi upo mkuuHahahahaha kivuli chako kilihakiwa aiseeeee