Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

yeah ninatendea kazi majibu na mungu ni mwema kwakweli... mi hata sijui ni linini sema navoelezea watu hali inayonitokea ndo wanasema kuwa ni Jinamizi labda kaka Mshana Jr atusaidie majibu




cc Smart911
Ni aina fulani ya kukosa hewa kwenye njia ya koo na kupata hisia za kukabwa.. Mara nyingi hisia hizo hujenga picha ya dubwana kubwa lenye nguvu likikukaba lakini kwa sehemu kubwa kiuhalisia ni picha tunazojenga wenyewe

Vitu vinavyosababisha jinamizi ni pamoja na kulala vibaya, kulala chali kushiba sana na mambo ya kishirikina
 
mshana Kuna yale madude ambayo hufungwa watoto kiunoni kwa kutumia kitambaa cheusi wengine unakuta mkononi... hivi husaidia nini???




cc Smart911
Ni mambo tu ya kiimani kimila na kitamaduni yasiyo na msaada mkubwa kwenye dhana nzima ya kinga na ulinzi
 
Ni aina fulani ya kukosa hewa kwenye njia ya koo na kupata hisia za kukabwa.. Mara nyingi hisia hizo hujenga picha ya dubwana kubwa lenye nguvu likikukaba lakini kwa sehemu kubwa kiuhalisia ni picha tunazojenga wenyewe
Vitu vinavyosababisha jinamizi ni pamoja na kulala vibaya, kulala chali kushiba sana na mambo ya kishirikina



sa inakuaje kuaje Ile sauti unayotoa ya kuomba Msaaada walau mida mingine hata mtu ulielala nae anakua haisikii???
Na nini husababisha Jinamizi kuja kwa mtu fulani??



cc Smart911
 
Mshana mimi nataka kumuona mchawi kama akija kuniwangia!! Na nifanyeje ili asinisumbue kuniwangia tena??

cc Smart911
Sikushauri utaona na vingine wengine wasivyoviona mwisho utaishia kuchizika.... Kwakuwa utakuwa unashangaa vile unavyoviona lakini wengine hawavioni nao watakuwa wanakushangaa na kudhani umeshapata celebral malaria
 
Naomba kujua kwann hawa wataalamu asilia wenye ujuzi hata kuliko sayansi wanashindwa kuingia benki na kuchukua fedha za kutosha halafu wakatoweka? Au kwann wanashindwa kufanya watoto wao kuwa TANZANIA ONE kwa kuamisha mitihani kutoka necta na kuwakabidhi wasolve kabla ya paper??
Bado nawaza kuna nn katikati!!
Tufumbuane macho kuhusu security systems za hizi tahasisi!!
Na kwa nini wanashindwa kwenye kubeti?
 
Mkuu, benki kuna zindiko la kufa mtu hawathubutu wanaogopa kunasa. Hata wewe ukiwa na zindiko la uhakika wanaishia kufyonza tu. Wanaoishi vizuri hapa duniani ni wanaojua jinsi ya kuwakomesha wachawi. Unakuta mtoto wako analia na kuugua bila sababu wewe unaishia kusema Yesu Maria na Yoseph, hosipitali ikishindikana pambana na ulinwengu wa roho. Ujue wanoko hawatakuonyesha njia ya kweli uwe makini.
Sayansi haijawahi haitawahi na haitotokea kuushinda uchawi....inachofanya sayansi inacopy na kupest kutoka ktk uchawi....
 
Nadhani Zongo halizuiliki ila linatibika... Ule utaalam ni kiboko unakaa machoni. Na transmission ya ni eye to eye contact
Kuna vtu huviweka kuzuia zongo hasa kwa watoto kuna sehemu nilikaa wanapiga zongo had unaanza kutetemeka, au mtoto analia usipo muwahi ndo basi
 
Hapa kwetu usukumani kuna mtu alikuwa akiitwa Ng'wana malundi.na mwingine anaitwa makongolo.hawa watu walikamatwa na mjerumani wakafungwa.lkn kila cku asbh wanawakuta nje.wanafungia tena na kuweka ulinzi mkali.lkn baadae wanawaona wako nje ya gereza.wakiwauliza mmetokaje.

wanaaema tumepitia mlangoni.baadae wakawapereka kwenye kisiwa cha mafia wakawaacha huko ili wafe na njaa.wazungu walipoondoka hawa wafungwa wakaulizana.ndugu tutakula nn hapa kisiwani?! Makongoro akasema mm ninaweza kulima ba kuivisha leo hihii,tatzo ni mbegu tutapataje? Mwana malundi akasema mm ninaouwezo wa kupasua hii bahari na tukapita tukitembea.makongolo akasema pasua tufate mbegu za mahindi na malando ili tulime.kweli mwana malundi alitupa kudude kikapasua maji na wakapita mpk ng'ambo.

wakachukua mbegu za mahindi na viazi.jioni yake wakapata.kuamka asbh mahindi yameiva na viazi vimechana matuta.ikawa ni kula na kupeleka kuuza mjini kila cku.wajerumani waliposikia kuwa wale wafungwa wanakuja mpk mjini dar es salaam na kuuza mahindi na viazi.ilibidi waje kudhitisha.ba kweli wakawakamatia mjini.na mizigo ya mahindi.wakawaambia tuonyeshini njia mliyopitia.wakaenda ufukweni na kutupa kile kudude maji yakatika na sekende kadhaa wako kisimani.

walipofika wakakuta shamba la viaz na mahindi yameiva sana kuliko hata shamba darasa.wakauliza mmepanda lini? Wakajibu tunapanda kila siku jioni na kuvuna kesho asbh.hawa mpk wameacha alama kwenye mawe.km biblia na quruani zingekuwa hazijafungwa.hawa lazima wangekuwemo.
 
Hapa kwetu usukumani kuna mtu alikuwa akiitwa Ng'wana malundi.na mwingine anaitwa makongolo.hawa watu walikamatwa na mjerumani wakafungwa.lkn kila cku asbh wanawakuta nje.wanafungia tena na kuweka ulinzi mkali.lkn baadae wanawaona wako nje ya gereza.wakiwauliza mmetokaje.wanaaema tumepitia mlangoni.baadae wakawapereka kwenye kisiwa cha mafia wakawaacha huko ili wafe na njaa.wazungu walipoondoka hawa wafungwa wakaulizana.ndugu tutakula nn hapa kisiwani?! Makongoro akasema mm ninaweza kulima ba kuivisha leo hihii,tatzo ni mbegu tutapataje? Mwana malundi akasema mm ninaouwezo wa kupasua hii bahari na tukapita tukitembea.makongolo akasema pasua tufate mbegu za mahindi na malando ili tulime.kweli mwana malundi alitupa kudude kikapasua maji na wakapita mpk ng'ambo.wakachukua mbegu za mahindi na viazi.jioni yake wakapata.kuamka asbh mahindi yameiva na viazi vimechana matuta.ikawa ni kula na kupeleka kuuza mjini kila cku.wajerumani waliposikia kuwa wale wafungwa wanakuja mpk mjini dar es salaam na kuuza mahindi na viazi.ilibidi waje kudhitisha.ba kweli wakawakamatia mjini.na mizigo ya mahindi.wakawaambia tuonyeshini njia mliyopitia.wakaenda ufukweni na kutupa kile kudude maji yakatika na sekende kadhaa wako kisimani.walipofika wakakuta shamba la viaz na mahindi yameiva sana kuliko hata shamba darasa.wakauliza mmepanda lini? Wakajibu tunapanda kila siku jioni na kuvuna kesho asbh.hawa mpk wameacha alama kwenye mawe.km biblia na quruani zingekuwa hazijafungwa.hawa lazima wangekuwemo.
Haya waliyofanywa yangefanywa na mzungu ingekuwa ni habari kubwa duniani na ya kuandikwa kwenye vitabu vya historia.... Lakini zinafinyangwa na kufichwa kwakuwa tu si mtu mweupe
 
  • Thanks
Reactions: uth
" ....ingetengeneza bacteria wenye virus...."
mkuu namimi nataka kuandika kama wewe nifanyeje?
 
  • Thanks
Reactions: uth
" ....ingetengeneza bacteria wenye virus...."
mkuu namimi nataka kuandika kama wewe nifanyeje?
[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: uth
Back
Top Bottom