Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Mshana Jr kuna dawa ya kuzuia zongo? Nilishapigwa mbili sitasahau nilivyoteseka. Ndani ya muda mfupi tumbo liliuma sana na kuanza kuvimba. Wazee walinipa mizizi nikatafuna na kutapika kile chakula kizimakizima. Ilikuwa supu na nyama. Yaani alifika mama jirani akakuna kichwani tu sikuchukua round.